Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,797
- 8,045
- Thread starter
- #221
Very sadviongozi wa juu wote ni wavaa makobasi,bandari wanapewa wavaa makobasi,loliondo wamepewa wavaa makobasi,na railway watapewa wavaa makobasi!!!
Very sadviongozi wa juu wote ni wavaa makobasi,bandari wanapewa wavaa makobasi,loliondo wamepewa wavaa makobasi,na railway watapewa wavaa makobasi!!!
KwaHujui usemacho. Umeshawahi kuwa na masterplan ya Mwenge?
sababu uislaamu ndio dini ya kweliIweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.
Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Basi huna akili? Sasa unashangaa DAR kuwa na misikiti MINGI? Kwa Taarifa yako, DAR ni moja ya mikoa ambayo majority ni WAISLAM na utamaduni wao ni huo wa KIISLAM kwa sehemu kubwa.
Inashangaza MBEYA kila hatua 3 kuna KANISA na hakuna malalamiko, wakati mwingine mjue kuna kanda ziko DOMINATED na WAISLAM KWA ZAIDI YA 90% hivyo ujenzi wa misikiti ni kawaida.
DAR, TANGA, LINDI, TABORA, MTWARA, MOROGORO, PWANI hayo maeneo MISIKITI ni MINGI kuliko MAKANISA
Waaambie wajenge mingi na sisi wadini nyingine tutakuja kuabidu humo humo. Imeisha hiyoIweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.
Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini