Huu ni ukweli mchungu.
Hakuna Taifa lililoendelea kwa kuweka mbele dini kuliko viwanda.
Hata Saudi arabia wanaendelea sababu dini kwao ni biashara inayochangia pato lao la taifa matrilioni ya hela. Wanafurahi sana kuona watu wengi wanaenda kuhijj kwao. Hela za visa, hela za hotel kule, flight fees airports. Zinawapa mahela hivyo unaona Saudi wana haki kabisa ya kuipenda dini yao maana ina faida sana kwenye uchumi wa nchi yao.
Saudi Arabia kuna wizara ya Hijja kabisa kwenye serikali yao. Sababu wanapiga hela za wataliii wa kidini.
Vatican na wao hivyo hivyo.
Sisi Tanzania ili tuendelee lazima tupunguze idadi na nguvu ya kujenga nyumba za ibada.
Kama tunavyochangishana kujenga makanisa kwa kushikana mashati kwenye Jumuia. Tunapaswa tuchangishane kujenga viwanda.
Ardhi ipo kubwa haitumiki inafaa kujengwa viwanda vya kila aina..
Rasili mali watu ipo kibao haina ajira inashinda vijiweni kubishana Simba na Yanga , Diamond na Ali kiba, Hamissa Mobetto na mabwana zake.
Tukijenga viwanda ndio tutaendelea.
Ushauri wangu Makanisa na misikiti yote igeuzwe viwanda.
Kila kata kubaki na msikiti mmoja tu na kanisa moja tu la kuzugia
Hakuna Taifa lililoendelea kwa kuweka mbele dini kuliko viwanda.
Hata Saudi arabia wanaendelea sababu dini kwao ni biashara inayochangia pato lao la taifa matrilioni ya hela. Wanafurahi sana kuona watu wengi wanaenda kuhijj kwao. Hela za visa, hela za hotel kule, flight fees airports. Zinawapa mahela hivyo unaona Saudi wana haki kabisa ya kuipenda dini yao maana ina faida sana kwenye uchumi wa nchi yao.
Saudi Arabia kuna wizara ya Hijja kabisa kwenye serikali yao. Sababu wanapiga hela za wataliii wa kidini.
Vatican na wao hivyo hivyo.
Sisi Tanzania ili tuendelee lazima tupunguze idadi na nguvu ya kujenga nyumba za ibada.
Kama tunavyochangishana kujenga makanisa kwa kushikana mashati kwenye Jumuia. Tunapaswa tuchangishane kujenga viwanda.
Ardhi ipo kubwa haitumiki inafaa kujengwa viwanda vya kila aina..
Rasili mali watu ipo kibao haina ajira inashinda vijiweni kubishana Simba na Yanga , Diamond na Ali kiba, Hamissa Mobetto na mabwana zake.
Tukijenga viwanda ndio tutaendelea.
Ushauri wangu Makanisa na misikiti yote igeuzwe viwanda.
Kila kata kubaki na msikiti mmoja tu na kanisa moja tu la kuzugia