Ismail Jussa na siasa katika ELIMU

Pasco hakuna sababu ya kukwepa ukweli.. Mfumo wa ELIMU nchini ni mboivu na Uvunjwe...Aliyasema haya Malima na wakamzushia mambo makubwa zaidi lakini nimechunguza kwa undani sana na kukuta kwamba kweli upo mfumo mbaya sana ktk ELIMU a AFYA nchini jambo ambalo sikuwahi kulikubali hata kidogo. Tuliyakataa haya haya wakati wa Nyerere kuhusu wanawake na hii inajionyesha zaidi leo wapo watu wanaamini wanawake hawawezi kuwa viongozi.

Kwa nini watu wanapenda kuulinda mfumo uliopo, mimi sielewi hasa sababu ya watu kushabikia kitu hali hawajui chochote au wanajua fika kwamba wana wakandamiza.. Kusema kweli binafsi siwaoni tofauti na wabunge wanaolilia posho zaidi japokuwa wanajua fika kwamba wanawaumiza wananchi. Tukitaka haki tuyachunguze malalamiko ya hawa watu kisha tujue ukweli ni UPI hapo ndipo tunaweza kuja na hoja ya kumpinga..Lakini kabla hatujawa na ukweli mkononi ni Ujinga mwingine kukumbatia kitu usokijua undani wake.

Mkandara,

..Prof.Malima alidai kuna hujuma ktk mfumo mzima wa usahihishaji mitihani.

..akaenda mbali na kudai kwamba wanafunzi hawatumii namba za mitihani wakati anajua fika kwamba namba za mitihani zilikuwepo tangu hajateuliwa kuongoza wizara hiyo.

..mimi nadhani tatizo letu ni kwamba linapokuja suala la elimu tunajali zaidi QUANTITY kuliko QUALITY. hata Prof.Malima alikuwa anajadili "idadi" na siyo "viwango."

..wakati wa zoezi la UPE serikali iliweka umuhimu mkubwa ktk kuandikisha watoto wengi shule ya msingi bila kuhakikisha kwamba watoto hao wanapatiwa elimu inayokidhi viwango.

..shule za sekondari za kata nazo zimeanzishwa kwa mtindo uleule, na mentality ya enzi za zoezi la upe. tumejikita ktk idadi na siyo viwango.

..kwanini wananchi wajenge shule 10 zisizo na waalimu wa kutosha, maabara, na maktaba? kwanini wasianze na shule 3 zilizojitosheleza?
 
Angewashauri wazanzibari wenzake wavunje muungano angekewa amefanya jambo la maana na ndio njia pekee ya kukwepa vitu kama NECTA
 
Pasco hakuna sababu ya kukwepa ukweli.. Mfumo wa ELIMU nchini ni mboivu na Uvunjwe...Aliyasema haya Malima na wakamzushia mambo makubwa zaidi lakini nimechunguza kwa undani sana na kukuta kwamba kweli upo mfumo mbaya sana ktk ELIMU a AFYA nchini jambo ambalo sikuwahi kulikubali hata kidogo. Tuliyakataa haya haya wakati wa Nyerere kuhusu wanawake na hii inajionyesha zaidi leo wapo watu wanaamini wanawake hawawezi kuwa viongozi.

Kwa nini watu wanapenda kuulinda mfumo uliopo, mimi sielewi hasa sababu ya watu kushabikia kitu hali hawajui chochote au wanajua fika kwamba wana wakandamiza.. Kusema kweli binafsi siwaoni tofauti na wabunge wanaolilia posho zaidi japokuwa wanajua fika kwamba wanawaumiza wananchi. Tukitaka haki tuyachunguze malalamiko ya hawa watu kisha tujue ukweli ni UPI hapo ndipo tunaweza kuja na hoja ya kumpinga..Lakini kabla hatujawa na ukweli mkononi ni Ujinga mwingine kukumbatia kitu usokijua undani wake.
Mkuu Mkandara, nakubaliana na wewe ila hoja yangu goes a bit beyond kwamba we need delibarate affimative actions kwa muslims na wazanzibari ili kubalance the equilibium ya usawa katika elimu ya juu!.

Muundo wa BOT gavana lazima atoke bara, na naibu gavana lazima atoke Zanzibar, tangu tumeiunda miaka mingi ilipita bila kuwa na naibu gavana kutoka Zanzibar eti kwa sababu hakuna Wanzanzibar wenye sifa!, aliyepo sasa inadaiwa hana sifa ila kapewa tuu ili mradi!. naamini kuna Wanzanzibar wanauwezo only if kama wakiwezeshwa kujaza nafasi hiyo kihalali na sio kwa kupewa tuu!.

Nimepita pale UDSM lazima tukubali tukatae mfumo wetu wa elimu uliwapendelea watu wa dini fulani, baada ya kulitambua hilo, ilibidi affimative action ifanyike kwa walionyuma kupaishwa huku waliombele waki mark time ili tulingane tusonge mbele pamoja!.

Huu ni ukweli mchungu kuubali ila watu wote amba wako just genuinely hili wanalijua, unless nao walifumbia macho tuu kwa kuendekeza udini wa preference za dini zao!,

We need affimative action!.
 
Mkandara,
Ni nani sasa anayeulinda mfumo huu mbaya wa elimu?Maana sioni wapi ambapo leo tumebaki tuko vizuri na tukiangalia sana tunasikia mfumo uliopo unalindwa usiondolewe..kwa faida ya nani na nani anayeulinda mfumo huo?
Tukiangalia upande mwingine, hatutakuwa tunatenda haki kama tutawabana wanaojituma kufanya vizuri na kuruhusu watu wazembe eti kwasababu tunatafuta balance. Hawa watu wazembe ndio hao wamejaa kwenye nafasi nyingi leo wanajiita wasomi na hakuna jambo lolote la maana wanalolifanya. Every person has only one destination...kama destination yangu ni kulima basi ndo naelekea shamba.

Ndinani,

..siyo kwamba watu ni wazembe, lakini there is no incentive ya kumpeleka mtoto shule.

..kwanini mzazi masikini alazimishwe kumpeleka mwanae kwenye shule yenye wanafunzi sitini na waalimu wawili?

..halafu mtoto anapoteza miaka minne baadaye mnamwambia mzazi kwamba mwanawe amefeli.

..unajua hata kule kwenye maeneo yenye mwamko wa kielimu waliona the difference btn mtoto aliyeenda shule na aliyebaki kijijni kuchunga ngombe na kulima mashamba. tofauti hiyo ndiyo iliyopelekea wengi wakapeleka watoto shule.
 
hebu tazama hii picha, kisha huitaji kuelezwa kama huyu ni timamu ama laaah....unajua Kisaikolojia unaweza kumtafsiri mtu hata kwa picha


19666_102281289805900_100000720881840_61447_5452770_n.jpg

Ukiangalia vizur hii picha utaona vizuri madhara ya UBWABWA.
Ukiangalia sura ya huyu kiumbe hai(ingawa sina uhakika) utagundua ni sura iliyojaa majonzi na majuto tele.
Tuwe tunawasamehe watu wa aina hii
 
Kabla kumuhukumu ni vizuri ujue tamko lake sio haya magazeti yenu ya uchochezi yanavyomnukuu.

Pitia mtandano wa Mzalendo au zanzinet utaliona na kuona maoni yake.

Kumbuka kuwa Jussa ni mwanasharia aliyebobea kitaaluma na ana uzoefu mkubwa sana katika siasa tena zile za mikikimikiki.

Hongera sana Jussa. Tanganyika wanakuhara wakisikia jina lako.


Jusa amechanganyikia,huwezi kuwa mwanasheria ukawa unaongea utumbo kiasi,mfano akitoa taa
https://www.jamiiforums.com/newreply.php?do=newreply&p=3302203
 
Mkuu Mkandara, nakubaliana na wewe ila hoja yangu goes a bit beyond kwamba we need delibarate affimative actions kwa muslims na wazanzibari ili kubalance the equilibium ya usawa katika elimu ya juu!.

Muundo wa BOT gavana lazima atoke bara, na naibu gavana lazima atoke Zanzibar, tangu tumeiunda miaka mingi ilipita bila kuwa na naibu gavana kutoka Zanzibar eti kwa sababu hakuna Wanzanzibar wenye sifa!, aliyepo sasa inadaiwa hana sifa ila kapewa tuu ili mradi!. naamini kuna Wanzanzibar wanauwezo only if kama wakiwezeshwa kujaza nafasi hiyo kihalali na sio kwa kupewa tuu!.

Nimepita pale UDSM lazima tukubali tukatae mfumo wetu wa elimu uliwapendelea watu wa dini fulani, baada ya kulitambua hilo, ilibidi affimative action ifanyike kwa walionyuma kupaishwa huku waliombele waki mark time ili tulingane tusonge mbele pamoja!.

Huu ni ukweli mchungu kuubali ila watu wote amba wako just genuinely hili wanalijua, unless nao walifumbia macho tuu kwa kuendekeza udini wa preference za dini zao!,

We need affimative action!.

Pasco,

..I disagree with the form of affirmative action ur proposing.

..mimi napinga quota system, badala yake napendekeza tujielekeze kuhakikisha kwamba elimu yenye viwango ni haki ya kila Mtanzania bila kujali kabila, dini, au jinsia.

..hii elimu tunayoizungumzia hapa imeletwa na dini nchini kwetu. it is understandable kwamba kutakuwa na disparities ktk suala zima la elimu baina ya dini mbalimbali.

..matatizo ya elimu yanahitaji our collective efforts as a nation kuyatatua. badala ya kutumia udini kushughulikia matatizo hayo, labda tutumie kanda, mikoa, etc ili tuweze kuwa kitu kimoja.

..my point ni kwamba Muislamu wa Kagera ana nafasi nzuri kielimu, kuliko Mkristo wa Sumbawanga. Kwa hoja hiyo tunaweza kuweka udini pembeni tukashughulikia matatizo haya kama Watanzania.
 
Sijui ni mimi peke yangu au kuna mtu mwingine mwenye hisia kuwa Ismaili Jussa anaendesha kampeni za kichonganishi sana. Inasikitisha kuona kiongozi wa umma anaeyeshabikia watu kufarakana. Kama Jussa anaona kuta tatizo kati ya Tanzania bara na Zanzibar kwa nini asitafute njia nzuri ya kutatua badala ya ku-incite had feelings kwa wananchi?

Baraza la mtihani wanaonea shule za Zanzibar kwa sababu gani? Wanapata faida gani hawa NECTA kwa kufuta matekeo kwa baadhi ya shule za Zanzibar? Na Jussa amejirdhisha kabisa kuwa matekeo mabaya kwa baadhi ya shule za Zanzibar ni kutokana na NECTA na sio uwezo wa wanafunzi?

kama anataka kuvunja muungano labda,akaanze na ule wa east timor kisha atue mumbai ale pilipili
 
Nakubaliana na wewe kabisa lakin kuna mushkira hapo nilipo RED.nafikiri fanya utafiti zaidi utagundua hilo.
Binafsi nilisomea bara kuanzia darasa la sita mpaka chuo kikuu. Sec nilisoma Tambaza (ile ya Mzee Kalumuna, mkuu wa shule) niliona hilo na baadae Ilboru (ya Mushi (Bino) mkuu wa shule na baadae UDSM.
Kote kote nimepita sijaliona hilo hata kidogo. Nilichogundua watu kutoka Pwani wanakuwa na akili sana kuliko watu wa kaskazini wala nyanda za juu na kanda ya ziwa. tatizo kubwa ni kupata fursa za kwenda shule na uwezo mdogo wa wazee wao katika kuwasomesha na vile vile mila na desturi. Niliosoma nao nafikiri wanaliona hilo kwani enzi hizo pale Chuo watu kutoka Znz tulikuwa tunatingisha katika facaulty zote kabisa.
Na kikubwa zaidi ni kuwa watu wa Pwani ni waaminifu sana ukilinganisha na watu kutoka mrima

.Nilichojifunza kutoka tanganyika ni
1. Watu kutoka Bukoba - hawa ni wanasoma kwa kujisifu tu lakin hawana akili za maisha. wanajitahidi darasani tu ikiwemo pamoja na kubebwa na wanaongoza kwa ukabila
2. Watu wa kanda ya ziwa (mwanza na tabora). hawa wachache waliosoma wana akili kiasi na watu wa kujitamba wakiwa wenyewe kwa wenyewe vijijini kwao. sio wabinafsi wala sio wakabila
3. Watu kutoka Mara. hawa ni very corrupt ni vigumu sana kupata mwaminifu
4. Mbeya , iringa wanajitahidi kidogo kiakili japo wanyakyasa ni wakabila sana
.5. Watu wa Arusha. hawa wana akili sana lakin kimaisha hakuna kitu.
6. Watu wa moshi. hawa wanasoma kimashindano na ni corrupt sana wanapenda sana sehemu zenye pesa ili wafanya mambo yao. Na wengi wanapenda pesa za haraka haraka.
7. Watu kutoka coast. hawa wana wasomi wachache sana lakin wana akili sana kimaisha. Na hawa ndio wanaomiliki kwa asilimia zaidi ya 68 a uchumi wa Tanganyika

Lakin mimi naona hilo ni lazima watu wa Znz walione kuwa kuwe na uwiano katika sekta ya Elimu kwani wote wanatoa mchango sawa katika muungano wenu. Ni lazima kuhakikisha ile % wanayotoa katika muungano inakuwa sawia katika kila nyanja.nafikiri ni vizuri hilo likawekwa bayana katika katiba mpya ja Muungano na ile ya Znz. ikiwezekana suala la elimu ya juu liondolewe katika muungano.

Duu! sijawahi kuona mtu anayejiita msomi halafu anakuja na stori za kijiweni na kuzigeuza utafiti!
Mkuu barubaru naskia wewe ni mahiri sana wa mashairi na ngonjera na nadhani ndo kipaji chako!
Tafadhal usifananishe masuala yanayohitaji utafiti kuwa kama tenzi za ngonjera na mashairi yako! poor you!
 
Pasco,

..I disagree with the form of affirmative action ur proposing.

..mimi napinga quota system, badala yake napendekeza tujielekeze kuhakikisha kwamba elimu yenye viwango ni haki ya kila Mtanzania bila kujali kabila, dini, au jinsia.

..hii elimu tunayoizungumzia hapa imeletwa na dini nchini kwetu. it is understandable kwamba kutakuwa na disparities ktk suala zima la elimu baina ya dini mbalimbali.

..matatizo ya elimu yanahitaji our collective efforts as a nation kuyatatua. badala ya kutumia udini kushughulikia matatizo hayo, labda tutumie kanda, mikoa, etc ili tuweze kuwa kitu kimoja.

..my point ni kwamba Muislamu wa Kagera ana nafasi nzuri kielimu, kuliko Mkristo wa Sumbawanga. Kwa hoja hiyo tunaweza kuweka udini pembeni tukashughulikia matatizo haya kama Watanzania.
Mkuu Joka Kuu, kutoa mtihani mmoja kwa mwanafunzi aliyeanzia madrasa vs aliyeanzia nursery matokeo ndio hayo!? Sijui Zanzibar wana Div 1 ngapi!. Performance ya shule Kiislamu ndio indicator, we have a serious problem that needs serious addressing it!. Last year nilikuwa SA na kuna idadi kubwa ya Watanzania stranded and living in destitute ukiasikia majina yao, they leave something to be desired!.

Japo hakuna proper research kuhusu ni kina nani waliojaza jela zetu you'll be surprised!. Tuna tatizo ambalo tunalifungia macho!, wakija hapa Al Qaeda, Al shabab na Boko haram, you will be surprised who would be the recruit!.

Lets face the issue sio denial!.
 
Mkandara,

..Prof.Malima alidai kuna hujuma ktk mfumo mzima wa usahihishaji mitihani.

..akaenda mbali na kudai kwamba wanafunzi hawatumii namba za mitihani wakati anajua fika kwamba namba za mitihani zilikuwepo tangu hajateuliwa kuongoza wizara hiyo.

..mimi nadhani tatizo letu ni kwamba linapokuja suala la elimu tunajali zaidi QUANTITY kuliko QUALITY. hata Prof.Malima alikuwa anajadili "idadi" na siyo "viwango."

..wakati wa zoezi la UPE serikali iliweka umuhimu mkubwa ktk kuandikisha watoto wengi shule ya msingi bila kuhakikisha kwamba watoto hao wanapatiwa elimu inayokidhi viwango.

..shule za sekondari za kata nazo zimeanzishwa kwa mtindo uleule, na mentality ya enzi za zoezi la upe. tumejikita ktk idadi na siyo viwango.

..kwanini wananchi wajenge shule 10 zisizo na waalimu wa kutosha, maabara, na maktaba? kwanini wasianze na shule 3 zilizojitosheleza?
Mkuu wangu ni lazima tuwe tunajiuliza maswali magumu, na kutafuta njia bora kwa rtaabu na kujitoa mhanga kuliko kutafuita mchawi...
Haya pengine twende tararibu..
1. Ikiwa namba za watoto ndizo zinatumika ktk kusahihisha mitihani kwa nini matokeo yanaandikwa majina ya watihaniwa.. hayo majina wameyapata wapi badala ya namba zao..hakuna wakati wowote namba zimetumika kutoa majibu ya watihaniwa iweje tuseme zinazotumika ni namba kusahihisha? hali ukitazama vyuo vinavyotumia namba hutoa hata majibu kwa kunukuu namba hizi na sio majina. Ni wkaati gani namba zinabadilika kuwa majina na kwa nini walitumia namba ikiwa orodha ya matokeo zinatolewa kwa majina?.

2. Na kama Kigoma Malima ambaye alikuwa waziri wa ELIMU alisema namba zitumike kusahihisha mitihani badala ya majina wakati (kwa madai yako) namba ndio zinatumika... huoni kama unajikanyaga hapo! Sasa kwa nini ilikuwa issue kubwa sana kukubali kutumia namba badala ya majina na nakumbuka vizuri sana mgogoro wa matumizi ya namba dhidi ya majina.

Huwezi kunionyesha mahala hata sehemu moja ambayo Malima alikuwa akijali QUANTITY na sii QUALITY wakati hatukuwa na shule za kutosha kabisa na ndipo alipogundua kwamba sii kwamba watu walikuwa wakishindwa mitihani bali nafasi za kwenda Sekondary, High school na University. Na kikubwa zaidi hadi anaondoka Chuo kikuu cha Dar na Mziumbe vilikuwa katika vyuo bora duniani na sio Tanzania tu..Shule za msingi waliandikisha watoto wachache kuliko wakati wote na record zipo..hii quantity gani unayozungumzia.

3. Mkuu wangu swala la quantity hili amekuja nalo Lowasssa na JK lakini ndani ya mfumo ule ule ulojengwa wa kujuana. Nakubaliana kabisa na ndugu yetu alohoji hapo nyuma kama ni haki tunatakiwa kuwasaidia waloshindwa tukaacha watu waliofanya vizuri. tatizo siii kuwasaidia wala sikubaliani na Pasco ktk kuwapa tafu Wazanzibar kwa sababu wanalalamika isipokuwa kinachotakiwa ni kurekebisha mfumo mzima wa ELIMU. Na sipendi kurudia rudia hoja yangu maana watu watanielewa vibaya na tutatoka ktk mjadala huu lakini mfumo wa ELIMU nchini ni mbovu toka waandalizi, Wadau na washirika wa Idara zinazohusika hadi Shule zenyewe.

UTU wa binadamu yeyote huanzia ktk ELIMU, kumnyima mtu elimu ni sawa na kuwacha Mnyama pori maana hata hao huwa tamed..Inashangaza sana kuona watu tunashindana kwa asilimia 9 ya washindi, huoni kama ELIMU imekuwa sawa na sinia la Biriani lilowekwa ktk kundi wa watu 10. hata yawepo masufuria mangapi mpango wa shule unatakiwa uboreshwe. hadi leo hii tunavyozungumza kuna shule zina watoto zaidi ya 100 darasa moja na walimu wawili tu. Kinachofanyika ni sawa na mgao wa Umeme unakatika sana sehemu za Uzalishaji na biashara lakini sii Mikocheni na Msasani kwa viongozi. Hii sii akili hata kidogo mkuu wangu.
 
Kitendo cha Naibu katibu mkuu wa CuF kulalamikia matokeo ya kidato cha nne eti wanzanzibari wanabaguliwa kwa kuwa katika shule kumi bora ya Zanzibar ni moja tu (Lumumba sekondari) na eti shule nyingi zilizofutiwa matokeo ni za kutoka Zanzibar pia. Mimi natilia shaka uwezo wake wa kufikiri pamoja na kiwango chake cha elimu kwani sidhani kama NECTA huwa wanasahihisha mitihani kwa kuangalia unatoka upande gani wa muungano. Mimi nashauri kama anaona hawakutendewa haki awashauri wanafunzi wakate rufaa NECTA mitihani yao irudiwe kusahihishwa badala ya kuingiza siasa kwenye suala nyeti kama hilo. Nawasilisha




(Source: Nipashe Radio one)


Aaaaagh....Jussa tena...
This guy is a virus....Always talking ****...

Hivi Jussa ni lazima uwe unaongea kila kitu jamani...? remember "A silent fool is considered wise" , at least try this...
 
Mkuu wangu ni lazima tuwe tunajiuliza maswali magumu, na kutafuta njia bora kwa rtaabu na kujitoa mhanga kuliko kutafuita mchawi...
Haya pengine twende tararibu..
1. Ikiwa namba za watoto ndizo zinatumika ktk kusahihisha mitihani kwa nini matokeo yanaandikwa majina ya watihaniwa.. hayo majina wameyapata wapi badala ya namba zao..hakuna wakati wowote namba zimetumika kutoa majibu ya watihaniwa iweje tuseme zinazotumika ni namba kusahihisha? hali ukitazama vyuo vinavyotumia namba hutoa hata majibu kwa kunukuu namba hizi na sio majina. Ni wkaati gani namba zinabadilika kuwa majina na kwa nini walitumia namba ikiwa orodha ya matokeo zinatolewa kwa majina?.

2. Na kama Kigoma Malima ambaye alikuwa waziri wa ELIMU alisema namba zitumike kusahihisha mitihani badala ya majina wakati (kwa madai yako) namba ndio zinatumika... huoni kama unajikanyaga hapo! Sasa kwa nini ilikuwa issue kubwa sana kukubali kutumia namba badala ya majina na nakumbuka vizuri sana mgogoro wa matumizi ya namba dhidi ya majina.

Huwezi kunionyesha mahala hata sehemu moja ambayo Malima alikuwa akijali QUANTITY na sii QUALITY wakati hatukuwa na shule za kutosha kabisa na ndipo alipogundua kwamba sii kwamba watu walikuwa wakishindwa mitihani bali nafasi za kwenda Sekondary, High school na University. Na kikubwa zaidi hadi anaondoka Chuo kikuu cha Dar na Mziumbe vilikuwa katika vyuo bora duniani na sio Tanzania tu..Shule za msingi waliandikisha watoto wachache kuliko wakati wote na record zipo..hii quantity gani unayozungumzia.

3. Mkuu wangu swala la quantity hili amekuja nalo Lowasssa na JK lakini ndani ya mfumo ule ule ulojengwa wa kujuana. Nakubaliana kabisa na ndugu yetu alohoji hapo nyuma kama ni haki tunatakiwa kuwasaidia waloshindwa tukaacha watu waliofanya vizuri. tatizo siii kuwasaidia wala sikubaliani na Pasco ktk kuwapa tafu Wazanzibar kwa sababu wanalalamika isipokuwa kinachotakiwa ni kurekebisha mfumo mzima wa ELIMU. Na sipendi kurudia rudia hoja yangu maana watu watanielewa vibaya na tutatoka ktk mjadala huu lakini mfumo wa ELIMU nchini ni mbovu toka waandalizi, Wadau na washirika wa Idara zinazohusika hadi Shule zenyewe.

UTU wa binadamu yeyote huanzia ktk ELIMU, kumnyima mtu elimu ni sawa na kuwacha Mnyama pori maana hata hao huwa tamed..Inashangaza sana kuona watu tunashindana kwa asilimia 9 ya washindi, huoni kama ELIMU imekuwa sawa na sinia la Biriani lilowekwa ktk kundi wa watu 10. hata yawepo masufuria mangapi mpango wa shule unatakiwa uboreshwe. hadi leo hii tunavyozungumza kuna shule zina watoto zaidi ya 100 darasa moja na walimu wawili tu. Kinachofanyika ni sawa na mgao wa Umeme unakatika sana sehemu za Uzalishaji na biashara lakini sii Mikocheni na Msasani kwa viongozi. Hii sii akili hata kidogo mkuu wangu.

Ukistaajabu ya musa utaona ya bokoharam. Elimu iliyopo imeletwa na wazungu hasa wamissionary. Sababu hii ni tosha kukuta wakristo wengi wamesoma. Lakini jambo la kushangaza huko wanakosahihisha na kupanga matokeo hakuna waisilamu kwenye team? Kama wamo wajitokeze waeleze ukweli. Kama napo huwa hawapangwi kwenye team hizo basi ielezwe. Maana hapa kuna watu wana incite u-boko haram kwa mambo ya kizushi tu.
 
Mkuu wangu ni lazima tuwe tunajiuliza maswali magumu, na kutafuta njia bora kwa rtaabu na kujitoa mhanga kuliko kutafuita mchawi...
Haya pengine twende tararibu..
1. Ikiwa namba za watoto ndizo zinatumika ktk kusahihisha mitihani kwa nini matokeo yanaandikwa majina ya watihaniwa.. hayo majina wameyapata wapi badala ya namba zao..hakuna wakati wowote namba zimetumika kutoa majibu ya watihaniwa iweje tuseme zinazotumika ni namba kusahihisha? hali ukitazama vyuo vinavyotumia namba hutoa hata majibu kwa kunukuu namba hizi na sio majina. Ni wkaati gani namba zinabadilika kuwa majina na kwa nini walitumia namba ikiwa orodha ya matokeo zinatolewa kwa majina?.

2. Na kama Kigoma Malima ambaye alikuwa waziri wa ELIMU alisema namba zitumike kusahihisha mitihani badala ya majina wakati (kwa madai yako) namba ndio zinatumika... huoni kama unajikanyaga hapo! Sasa kwa nini ilikuwa issue kubwa sana kukubali kutumia namba badala ya majina na nakumbuka vizuri sana mgogoro wa matumizi ya namba dhidi ya majina.

Huwezi kunionyesha mahala hata sehemu moja ambayo Malima alikuwa akijali QUANTITY na sii QUALITY wakati hatukuwa na shule za kutosha kabisa na ndipo alipogundua kwamba sii kwamba watu walikuwa wakishindwa mitihani bali nafasi za kwenda Sekondary, High school na University. Na kikubwa zaidi hadi anaondoka Chuo kikuu cha Dar na Mziumbe vilikuwa katika vyuo bora duniani na sio Tanzania tu..Shule za msingi waliandikisha watoto wachache kuliko wakati wote na record zipo..hii quantity gani unayozungumzia.

3. Mkuu wangu swala la quantity hili amekuja nalo Lowasssa na JK lakini ndani ya mfumo ule ule ulojengwa wa kujuana. Nakubaliana kabisa na ndugu yetu alohoji hapo nyuma kama ni haki tunatakiwa kuwasaidia waloshindwa tukaacha watu waliofanya vizuri. tatizo siii kuwasaidia wala sikubaliani na Pasco ktk kuwapa tafu Wazanzibar kwa sababu wanalalamika isipokuwa kinachotakiwa ni kurekebisha mfumo mzima wa ELIMU. Na sipendi kurudia rudia hoja yangu maana watu watanielewa vibaya na tutatoka ktk mjadala huu lakini mfumo wa ELIMU nchini ni mbovu toka waandalizi, Wadau na washirika wa Idara zinazohusika hadi Shule zenyewe.

UTU wa binadamu yeyote huanzia ktk ELIMU, kumnyima mtu elimu ni sawa na kuwacha Mnyama pori maana hata hao huwa tamed..Inashangaza sana kuona watu tunashindana kwa asilimia 9 ya washindi, huoni kama ELIMU imekuwa sawa na sinia la Biriani lilowekwa ktk kundi wa watu 10. hata yawepo masufuria mangapi mpango wa shule unatakiwa uboreshwe. hadi leo hii tunavyozungumza kuna shule zina watoto zaidi ya 100 darasa moja na walimu wawili tu. Kinachofanyika ni sawa na mgao wa Umeme unakatika sana sehemu za Uzalishaji na biashara lakini sii Mikocheni na Msasani kwa viongozi. Hii sii akili hata kidogo mkuu wangu.

Mkandara,

..hivi wewe kwenye mitihani ya taifa uliandika namba, au jina?

..ninavyoelewa mimi kinachosahihishwa ni paper yenye namba ya mtahiniwa.

..unadai vyuoni hawatumii majina: je, umeshawahi kuona shahada ya chuo kikuu imeandikwa namba ya mtihani[usajili] ya mhusika na siyo jina lake?

..mfano mmoja wa Malima kujali quantity na siyo quality ni kuanzisha mtindo wa double session ambapo aliongeza idadi ya wanafunzi wanaochaguliwa kwenda sekondari pale dsm bila kuhakikisha kwamba ubora wao kitaaluma unawaruhusu.

..zaidi, kipindi cha Malima mtihani wa form 2 ulioanzishwa na waziri Jackson Makweta mtangulizi wake ulisitishwa.
 
Mkandara,

..hivi wewe kwenye mitihani ya taifa uliandika namba, au jina?

..ninavyoelewa mimi kinachosahihishwa ni paper yenye namba ya mtahiniwa.

..unadai vyuoni hawatumii majina: je, umeshawahi kuona shahada ya chuo kikuu imeandikwa namba ya mtihani[usajili] ya mhusika na siyo jina lake?

..mfano mmoja wa Malima kujali quantity na siyo quality ni kuanzisha mtindo wa double session ambapo aliongeza idadi ya wanafunzi wanaochaguliwa kwenda sekondari pale dsm bila kuhakikisha kwamba ubora wao kitaaluma unawaruhusu.

..zaidi, kipindi cha Malima mtihani wa form 2 ulioanzishwa na waziri Jackson Makweta mtangulizi wake ulisitishwa.
Mkuu wangu nimesoma zamani enzi ya Nyerere lakinia najua fika kwamba unatakiwa kuandika Jina na namba na unaweza kwenda site ya NETCO to verify isipokuwa sina uhakika mtihani wa darasa la saba ndio wanatumia namba. Mkuu mimi mzazi kwa nini nilalamikie kitu kisichokuwepo? Nataka ku gain kitu gani au itanifaidisha nini?

Kuhusu vyuo vikuu unazunguzia vyeti, mkuu wangu nchi gani wanaandika namba ya mtu kwenye cheti? Mbona nageuza maneo sisi tunazungumzia kusahihisha mitihani na utoaji wa majibu. Swala hili limezungumziwa toka enzi za Malima kwa nini tunatafuta visingizio badala ya kulitazama tunakosea wapi.

Tena siku hizi mwanafunzi anatakiwa kukaa mtihani na kuufanyia kupitia PC tu hasa haya maswali ya kuchagua ndio rahisi kabisa.Kila mahala penye mkono wa mtu mwenye njaa lazima zitakuwepo hila mbaya za magendo. Mkuu nafasi ni chache hata mimi naweza poteza Uzalendo kununua mtihani kwa ajli ya mwanangu ikiwa najua itanigharimu zaidi ya Mil 4 kwa mwaka kuingia Private.
Mkuu wangu nimnepitia report ya elimu nchini na kukuta kwamba wakati Mwinyi hadi Mkapa mwanzoni ndio elimu ilishuka zaidi ktk usajili kutokana na kuwekwa karo pia asilimia 5 kwenda sekondary na asilimia ndogo zaidi kwenda High schools, vyuo na University sasa hizi hadithi za Quntity zinaushahidi gani?Nipe hesabu ya wanafunzi waliokwenda UDSM tofauti na miaka iliyopita au iliyofuata.
 
Back
Top Bottom