Injinia Stella Manyanya alifunda jiji la Dar kiaina!

Anatafuta umaarufu wa kisiasa ili Jk akaone one, Juzi kati kakihojiwa Sumbawanga tv live kalinibore sana kalivoanza kupiga proganda za kisiasa, kanaulizwa kanaonaje kuhusu mchakato wa katiba, badala ya kujibu hoja kakajaa upepo na kuwagekia CDM oh mara wahuni, wanamambo ya kitoto!!!, hafu kanajifanya kajuaji sana, kimsingi manyanya ni mnafiki sana hakafai aisee! Kuhusu tukio zima unalokomaa nalo nasema kwangu mimi is an issue kwangu kwa nimjuavyo Manyanya majibu yangu yale yale ni kanafiki sana

Huwa hakana hoja haka kamama, halaf sijui kwanini waandaaji wa mijadala kupitia TV wasimuweke siku moja na Mdee, Mnyika au Lissu, lazima atatoa machozi.
 
Hakuna kitu hapo! Usanii tu mbele ya waandishi wa habari, na makamera-man kibao! Hiyo barabara wanayosafisha haina uchafu wowote,sanasana wanaharibu kwa kuondoa layer' ya sub-base na kusababisha mashimo zaidi! Hizi ni politiki, angekuwa makini aende kwenye madampo na mitaani akasafishe.

PJ,
Ni kweli usanii!!

Lkn Sub base layer iko chini inabidi watoe surface course waje base course ndio wafike kwenye subbase level! wanachotoa ni deposited sand on pavement surface.
 
PJ,
Ni kweli usanii!!

Lkn Sub base layer iko chini inabidi watoe surface course waje base course ndio wafike kwenye subbase level! wanachotoa ni deposited sand on pavement surface.

Yeye kama kiongozi kazi yake ni kuhamasisha tu mbona kama mnata afanye yeye hii ni kumkomoa au?hivi hizo halamshauri zilizo chini ya cdm ama cuf hali yake ya uchafu ikoje?je wamefanya nini so far,hii haiwezi kuwa challenge kwao?tafakari
 
Huwa hakana hoja haka kamama, halaf sijui kwanini waandaaji wa mijadala kupitia TV wasimuweke siku moja na Mdee, Mnyika au Lissu, lazima atatoa machozi.

wakapambanishe na hao jamaa kwenye suala la usafi wa maeneo wanayoyaongoza tuone....ubungo ni dampo na mheshimiwa anakimbilia kwenye kivuko,mama atamtoa nishai wakiwapambanisha
 
Mfano mzuri, ajitahidi zoezi lenu liwe endelevu tena likihusisha maeneo yote.

Swali dogo, si alijua kama anaenda kwenye hilo zoezi? Sasa mbona gauni letu kama linazoa matope tena?
 
Mfano mzuri, ajitahidi zoezi lenu liwe endelevu tena likihusisha maeneo yote.

Swali dogo, si alijua kama anaenda kwenye hilo zoezi? Sasa mbona gauni letu kama linazoa matope tena?

too personal,nadhani ujumbe kwa anaowaongoza umefika!viongozi wengine wangeanzisha kampeni kama hizi may be zingeweza kusaidia kuisafisha miji yetu,miji yetu michafu sana sio siri,pongezi pekee kwa watu wa moshi,mji wao msafi sana!
 
Hongera sana mheshimiwa mkuu wa mkoa bora uwaamshe usingizini hawa viongozi jijini,kazi kupiga hela tu maushuru kibao wanakusanya but hata kununua vifaa na kuboresha maisha ya wafanya usafi wanashindwa!waje kujifunza sumbawanga usafi unafanywaje!
 
Kwanini afagie mbele ya makamera kama ni mtu wa kazi?
Wanaofagia wapo mabarabarani bana, hawahitaji camera ya mtu wala nini!..Jua lao mvua yao!
Acheni unafiki usio na ishu!..

Na yule Mbowe na Chadema yake walipoita macamera kisa wanasafisha ilikuwa unafiki pia?
 
Hakuna kitu hapo! Usanii tu mbele ya waandishi wa habari, na makamera-man kibao! Hiyo barabara wanayosafisha haina uchafu wowote,sanasana wanaharibu kwa kuondoa layer' ya sub-base na kusababisha mashimo zaidi! Hizi ni politiki, angekuwa makini aende kwenye madampo na mitaani akasafishe.

Barabara chafu imekaaje?
 
Watz huu upinzani wetu wa kisiasa sasa unatupeleka kubaya,yani huyu mama kweli anastahili kejeli kwa hili?sidhani.Mama amefanya jambo zuri,hivi hawa viongozi wetu walio wengi mnawajua mnawasikia,nani anaweza ku taka trouble ya kuingia kwenye mitaro ya maji huku mvua ikinyesha hata kama ni mbele ya camera,hiyo yao maarufu ya kupanda ka mti kamoja lazima watandikiwe mkeka wa kupigia magoti...viongozi wa jiji chafu la dar waichukue hii kama challenge..


Umenena vyema mkuu. Mama ameonyesha mfano wa kuigwa tuache siasa, kwenye mambo mazuri tupongeze kwenye mabaya tukosoe ndo namna ya kujenga nchi yetu nzuri Tanzania iliyojaa maziwa na asali
 
Back
Top Bottom