Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Mji wa Sumbawanga ni makao makuu ya mkoa wa Rukwa. Baada ya suala barabara kukamilika kutoka Mbeya mpaka Mpanda kiwango cha lami usafiri umekuwa wa uhakika mabasi na magari mengi yana tumia barabara hiyo.
Sasa hivi kuna wimbi kubwa la biashara ya wahamiaji haramu wanapita mjini Sumbawanga kwa mabasi kisha wanasafirishwa kwa magari madogo ya wafanyabiashara wa mji wa Sumbawanga kwa kutumia magari yao na kuwapeleka nchi za jirani.
Taarifa kwa polisi
Stend ya mabasi mpya ni kituo cha kupokelea hao wahamiaji haramu fanyeni upelelezi wenu wa kiintelejensia na wahusika mtawakamata ambao ni wafanyabiashara wa mji wa Sumbawanga.
Sasa hivi kuna wimbi kubwa la biashara ya wahamiaji haramu wanapita mjini Sumbawanga kwa mabasi kisha wanasafirishwa kwa magari madogo ya wafanyabiashara wa mji wa Sumbawanga kwa kutumia magari yao na kuwapeleka nchi za jirani.
Taarifa kwa polisi
Stend ya mabasi mpya ni kituo cha kupokelea hao wahamiaji haramu fanyeni upelelezi wenu wa kiintelejensia na wahusika mtawakamata ambao ni wafanyabiashara wa mji wa Sumbawanga.