KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
- Thread starter
- #21
Manyanya alijafanya mpambanaji wa ufisadi, na hali na yeye fisadi vilevile!
vipi katika hili la upambanaji wake katika uchafu?huoni kama ni mfano wa kuigwa na nyie huko mliko muache kupenda uchafu kuliko usafi na kuanzisha vita ya makusudi dhidi ya uchafu?kila siku ufisadi ufisadi wakati miji yetu pia ina uchafu!