Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
- Thread starter
- #101
Waberoya,
..naomba unisome kwa makini.
..nimesema vyama vililazimika kuunganisha nguvu Zanzibar na Kigoma kwasababu kila kimoja kilishindwa kupata clear majority.
..sasa hivi Chadema wametimiza vigezo vyote vya kuunda kambi ya upinzani bila kuvishirikisha vyama vingine. katika mazingira hayo, can you tell me why Hamad Rashidi anajaribu kuunda kambi nyingine ya upinzani? tena anajaribu mpaka kupata baraka za Spika!!!
NB:
..nina hakika hizo nchi ambazo zimeunda serikali za mseto ni kwasababu hiyo hiyo ya vyama kushindwa kupata a clear majority ktk kura za uchaguzi.
It is ok, sibaliki wala silazimishi muungano wa cuf na cdm, japo unaweza kuwa na impact in near future.ninachopinga ni sababu inayotolewa na cdm kuwa cuf ni sehemu ya serikali, hii sababu inaidhalilisha chadema yote kuwa still hawajui upinzani ni ideology sio kuwa against!!!!!!!!!!!!!!!