Keynes
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 533
- 89
Mkuu pole kwa kutumia references nyingi!!
ILA UKWELI NI KWAMBA!!
Mchambuzi yeyote au mtu yeyote anapofanya research lazima ufanye references lakini mwishoni lazima uje na mawazo ya kulinganisha yale uliyoandika na mazingira au hali halisi ya sehemu ulipo...DONT COPY, JOIN AND PASTE!!!....after that unatakiwa ufanye recomendation kama model inaweza kuwa applicable.
Sasa kwa hali halisi ya Tanzania mkuu mi nadhani CUF hawafai tena kuitwa wapinzani....tofautisha muungano wa serikali ya umoja wa kitaifa katika utawala na mungano wa serikali ya kitaifa katika upinzani.
Ushauri.
CDM waungane na chama chochote cha upinzani kinachotaka muungano lakini siyo CUF.
ILA UKWELI NI KWAMBA!!
Mchambuzi yeyote au mtu yeyote anapofanya research lazima ufanye references lakini mwishoni lazima uje na mawazo ya kulinganisha yale uliyoandika na mazingira au hali halisi ya sehemu ulipo...DONT COPY, JOIN AND PASTE!!!....after that unatakiwa ufanye recomendation kama model inaweza kuwa applicable.
Sasa kwa hali halisi ya Tanzania mkuu mi nadhani CUF hawafai tena kuitwa wapinzani....tofautisha muungano wa serikali ya umoja wa kitaifa katika utawala na mungano wa serikali ya kitaifa katika upinzani.
Ushauri.
CDM waungane na chama chochote cha upinzani kinachotaka muungano lakini siyo CUF.