Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
Mzee mwenzangu Weberoya,
Zamani ilikuwa ukitoa hoja jamvini watu wanajadili kwa hoja na mantiki. Siku hizi watu wanajibu kwa ushabiki pasina kuona tatizo liko wapi. Unabishana na watu ambao wamepofuliwa na ushabiki wao wa chama hawatakusikiliza kitu. Au kama wamekusikiliza hawatakuelewa au kukufahamu. Ni vizuri uwaache waendelee na ushabiki wao kwani nina hakika hata Chadema wakipewa nchi leo wanaweza kuwa kama CCM au kuwazidi CCM sasa only few of us tunaweza kuliona hilo na ndio maana narudia tena bora wengine hatuna vyama maana bado vyama vya siasa Tanzania havijakomaa kisiasa.
Endelea kusubiri vikomae