Inflammatory: CHADEMA hawako kwa maslahi ya taifa, they are just another tool

Waberoya,

..naomba unisome kwa makini.

..nimesema vyama vililazimika kuunganisha nguvu Zanzibar na Kigoma kwasababu kila kimoja kilishindwa kupata clear majority.

..sasa hivi Chadema wametimiza vigezo vyote vya kuunda kambi ya upinzani bila kuvishirikisha vyama vingine. katika mazingira hayo, can you tell me why Hamad Rashidi anajaribu kuunda kambi nyingine ya upinzani? tena anajaribu mpaka kupata baraka za Spika!!!

NB:

..nina hakika hizo nchi ambazo zimeunda serikali za mseto ni kwasababu hiyo hiyo ya vyama kushindwa kupata a clear majority ktk kura za uchaguzi.

It is ok, sibaliki wala silazimishi muungano wa cuf na cdm, japo unaweza kuwa na impact in near future.ninachopinga ni sababu inayotolewa na cdm kuwa cuf ni sehemu ya serikali, hii sababu inaidhalilisha chadema yote kuwa still hawajui upinzani ni ideology sio kuwa against!!!!!!!!!!!!!!!
 
you have said so many things without saying anything,...the question is...maalim seif ataweza kwenda against na serikali anayoiongoza,kwa sasa hivi anatekeleza sera za ccm,hawezi kuzicriticize

rudia tena kusoma, soma pot yangu no.36 , upinzani defintion unayoichukua wewe sio , haujui siasa bado...cuf ni cuf, cdm ni cdm, ccm ni ccm, haiwezekani kama una mlengo wa kulia ukageuka kuwa wa kushoto simply kwa sababu unaunda serikali...stick in knowing upinzani i different ideology!!!! mko dunia gani??
 
Very smart Waberoya, huu ndo ukweli ambao watu humu hawapendi kuusikia. Mara kibao nimejaribu kuongea haya, lakini kwa vile watu wa humu wanaongozwa na upepo, wafata mkumbo, tafakari kwao ni mwiko. Mwenye akili na asikie

Are these words comming from you??? unajiaibisha sana, ni bora ukaiondoa hiyo picha ya Michelle, kwani naye asingependa picha yake itumike na watu wenye upeo mdogo ( wa shule za kata) kama huu.
 
rudia tena kusoma, soma pot yangu no.36 , upinzani defintion unayoichukua wewe sio , haujui siasa bado...cuf ni cuf, cdm ni cdm, ccm ni ccm, haiwezekani kama una mlengo wa kulia ukageuka kuwa wa kushoto simply kwa sababu unaunda serikali...stick in knowing upinzani i different ideology!!!! mko dunia gani??

Tukumbuke kuwa CUF kwa sasa ni undefined organ; upinzani wanataka,lakini wakati huohuo wao wanaongoza serikali kwa kushirikiana na CCM, linapokuja swala la maamuzi ya kiutawala watakaa na CCM, Kwa upande mwingine linapokuja swala la kuipinga serikali ya CCM wao pia wanataka washirikishwe na CDM.Hili ni janga la kitaifa kuwa na chama cha aina hii.

Hatuwezi kuwaona CUF kama chama cha siasa, kwani hakina tija kwa watanzania.
 
Naanza hoja yangu kuangalia msimamo wa chadema kwa CUF na kueleza ukweli kuhusu caolition governments

Maana yake:

A coalition government is where two or more political parties join together in parliament/assembly to run the government and agree on a policy programme



Faida zake:
  • Government will be more consensus-based: resulting policies will be broadly approved of
  • Better representation of the electorate's wishes
  • Better quality of policy: enhanced scrutiny and increased attention paid to each policy
  • Increased continuity: election does not lead to dramatic overhaul which can produce fragmented rule2
Hasara zake:


· The most obvious criticism of Proportional Representation is that it could form coalition governments. This is seen by some as a majorly bad thing as it supposedly does not allow ‘strong’ government. Having more than one party in charge of decision making could cause a lot of arguments between the leaders of the country as the top ministers may have opposing political ideologies and views. It could also mean that it is very hard to get policy through the governmental process meaning government could be overall less effective in the running of the country.

· It could also cause an overly expanded Cabinet to cater for everyone’s needs in the Government, which could lead to much needless expenditure.


· There could also be many arguments, which cause Cabinets to split and some important policy to be suspended to do the impossible task of keeping everybody happy


Mifano ya nchi zinazounda serikali ya umoja wa kitaifa


Europe:

Albania, Andorra, Austria, Belgium, Croatio, Belgium, Czech, Denmark, Finland, Estonia, Germany, Iceland, Ireland, Italy, Kosovo,Latvia, Lithuania, Luxembourg, Monaco, Montenegro, Netherlands, Norway, Poland, Romania, Serbia, Slovakia, Slovenia, Sweden, Switzerland ( has been ruled by a coalition of the four strongest parties in parliament from 1959 to 2008 called the ‘magic formula”), Ukraine and UK

Americas

Chile, Trinidad and Tobago, Suriname, Canada.

Africa:

Algeria, DRC Congo, Gabon, Guinea-Bissau, Kenya, Mali, Mauritania, Mauritius, Morocco,Senegal, Zanzibar Island, and Zimbabwe (was proposed not sure if still exists)

Asia

Armenia,Bangladesh,Cambodia,India,Indonesia,Iraq, Isarel, Japan, Lebanon, Malaysia, Maldives, Pakistan, Sri-Lanka, Thailand, Timor-Leste

Ocenia

Australia, New Zealand, Papua New Guinea, Vanuatu

Kwa nini huwa inaundwa?;

The usual reason given for this arrangement is that no party on its own can achieve a majority in the parliament. A coalition government might also be created in a time of national difficulty or crisis, for example during wartime, to give a government the high degree of perceived political legitimacy it desires whilst also playing a role in diminishing internal political strife. In such times, parties have formed all-party coalitions (national unity governments, grand coalitions)1

Kwa nini nchi nyingi zenye mfumo huu zimeendelea ?

Pamoja na hasara zake which is debatable advantages of coalition governments is far million times better than its disadvantages. How and why

1. Kutenganisha siasa na utendaji kazi wa serikali , kwa mfano Japan average ya prime minister kwa mwaka!, karibu kila mwaka wanakuwa na waziri mkuu mpya ambaye ni kama rais wa nchi! Still economic activities are growing up very fast!! Ufike muda tuone utendaji wa kisiasa unakuwa kwenye kushindana ku-implement policies na sio kuingilia professionals. Kwa sababu hii nchi nyingi zimefanikiwa kuendelea pamoja na kuwa coalition governments ina udhaifu wake lakini afadhali kuliko kutokuwa nayo

2. IKIFIKIA level, au wakati kuwa uamuzi wowote mzuri regardleess umetolewa na chama gani unafaa kuungwa mkono then that is a sign and good grounds of endorsing this system. Ifikie muda kila kiongozi anawaza mema kwa ajili ya nchi yake na KUPATA UONGOZI SI KWENDA KUJIONYESHA KUWA WEWE NI RAIS BALI KUTATUA MATATIZO FULANI YA NCHI YAKO KWA LENGO LA KULETA MABADILIKO AMBAYO YATALINDA HESHIMA YAKO.

3. Kuwa siasa sio uadui bali ni ushindanifu wa hoja, malengo, policy na ni hulka kamili ya binadamu kutofautiana na ni jambo la kukusudiwa na kila mmoja kujenga nchi moja pamoja na kuwa mnaweza kuwa na mitazamo tofauti, if we will reach this stage we are through!

Je kuna faida gani au kwa nini serikali ya umoja wa kitaifa ni muhimu hasa kwa nchi za dunia ya tatu ambazo vyama vingi ni vile vya kibeberu.

Kuna solutions mbili kubwa aidha kuwatoa kwa nguvu, maana ballot box cannot do anything! You heard me! But if we inclined to accept evolution not revolution then second option i.e coalition government is another good techniques ya kuwaondoa mabeberu!! Why and how

FAIDA YA serikali ya umoja wa kitaifa Tanzania

1. Ni kichekesho na uhuni na uvunjivu wa haki za kibinadamu kuwa chama fulani kikipata kura asilimia 60 then wanaongoza nchi yote regardless of those 40% who did support them. Kwa mfano haingii akilini kuwa kikwete alipata asilimia 60 then wengine hawatakiwi kuunda serikali!!! Ambao tulisupport vyama vingine itakuwa rahisi na vizuri tukiwakilishwa serikalini walau kupata wizara kulingana na idadi ya kura zilizopatikana, let say CDM inapata wizara 3 out of 10! Is well and good

2. Serikali ya umoja wa kitaifa inavipa breakthrough vyama vingine kwa kuonyesha uwezo wao wa kiutendaji na kujenga hoja, this is like a continuing evaluation ya kuwa je CDM wamepewa wizara 3 wanafanya vizuri wakipewa urais si ndiyo watafanya vizuri zaidi?

3. Serikali ya umoja wa kitaifa inaviimarisha vyama, inajijenga na kupanua demokrasia ambayo tunaona haipo si kwenye chama tawala hata vya upinzania pia. Kwa mfano tulishuhudia Hilary na Obama wakipambana kwa hoja na sera zao ngali wako chama kimoja na mwisho wa siku wakamaliza vyema!!! Kama tunalipenda taifa we can still argue while we are in the same governments! Hii ni level ya juu lakini ni nzuri

4. KUBWA KULIKO YOTE ni kuwa serikali ya umoja wa kitaifa itahimiza watu kujitokeza kupiga kura wakiamini kuwa wingi wa kura zao ndio unaipa nafasi kubwa chama chao kushika serikali, MOTISHA YA KUPIGA KURA NI KUBWA SANA KWENYE HZI SERIKALI NA WATU HAWAKATI TAMAA kuwa hata nipige vipi CCM watapita

5. Kufanya maamuzi ya kijinga ya kichama inakuwa ngumu kwenye cabinet

6. Msisahau wanasiasa ni wanasiasa they are born with same parents! Coalition governments inaweka msimamo kuwa hakuna chama kinachoa AMINIWA


Je what can we do now?

Mabadiliko ya katiba yanatakiwa ya accommodate issue nyingi ikiwemo hili

Je CUF na CCM Zanzibar hali ikoje?

Nimekaa Unguja na nimeona mabomu yakipigwa kwa wana CUF, na mimi kuathirika, nimeshuhudia chaos nyingi kwa macho yangu na leo hii natamani nirudi unguja nione hali ikoje!!! Coalition governments was the only solution for that situations! Wanaoibeza CUF idha hawajui maana ya caolition, hawajui kilichokuwa kinaendelea Zenj na wako blindly kuhusu nini maana ya coalition. Ni mwanzo mzuri sana ila inabidi iende mbali zaidi kuzungumzia

Vipi kuhusu tamko la CHADEMA na MSIMAMO WA CHADEMA


I don’t support that tamko kwa sababu hizi

1. Chadema imefail kuwaambia au kujibu hoja ya coalition governments kwa greater heights, wanajibu cheaply kuwa CUF NI sehemu ya serikali!!! Kuwa sehemu ya serikali hakukupi mwanya kuwa usisimamie unachokiamini ndiyo maana USA hatuvitaji Republican kama ni chama cha upinzani!! Tunakitaja kwa majina yao ndivyo walivyo, IFIKIE MUDA TUSEME YULE NI MCHADEMA SIYO KWA SABABU NI MPINZANI KWA SABABU YA YALE UNAYOYASIMAMIA!!!


2. They have depicted high level of ignorance regarding coalition governments, KWANZA KAMA VILE HAZIPO, pili kama vile ni mbaya, same chadema waliungana na CCM huko Kigoma kwenye umeya na that was good example of coalition government –type


3. Kukataa coalition governments kuna onyesha vitu viwili, CHADEMA wana uroho wa madaraka na wanaiona TANZANIA KAMA NYAMA FULANI INATAKA KUDONDOKA NA WAO WANATAKA KUIRUKIA….., Tanzanias are very clever the only thing that CDM will be supported if they can agree that coalition governments is a solution because people don’t trust them either! Believe me humu JF kuna tendency ya kutoangalia ukweli wa kulijenga taifa ila ni ubishi wa kishindani usio na maana kutaka cheap popularity ya ghost members usiowaona, can you stand alone?

4. Chadema imejiwekea wigo wa kujionyesha kuwa they can fight corruption alone and only alone!!! Hii ni hatari sana kwa wapenda mabadiliko , umoja wa kitaifa kupinga yanayorudisha taifa nyuma ni wajibu wakila mtu regardless of which part he belongs. Leo hii ni nadra CDM kuunga mkono CUF kile ambacho hata wao wanakipigania…huu ni utoto na high level of stupidity na ni sumu mbaya sana kwa wapenda maendeleo

5. Chadema ina ona kila wanachokisema kiko sahihi simply kwa kuwa na wabunge 47 kati ya zaidi ya 200! Baadhi ya watanzania na ujinga wao wanaamini CDM inaweza ikafanya maajabu bungeni!!!! Hizi ni ndoto za alinacha

6. CDM baada ya kuchanganyikiwa na matokeo bado haija recover from that shock!!! Maamuzi yake, misemo yake, mienendo yake si ya UTAIFA BALI NI UCHADEMA this is catalysed by the fact that they have money from our kodi (ruzuku) this made them to forget that they are making history today that will be a joke of tomorrow!!!! History is being written kuna vitu in near future itakuwa ni ngumu sana kwa watu kuvimeza kwa sababu ya makosa ya leo,

7. Kama ni kutofautiana na CUF na vyama vingine, is better they use a better language au kutoa sababu zingine na si kuwa CUF NI SEHEMU YA SERIKALI, HUU NI UOZO MKUBWA SANA AMBAO KWA KAMATI KUU YA CHADEMA HAIKUPASWA KUANDIKWA, ni uozo unaoelezea mawazo na nia yao kwenye hii nchi ni nini, kweli hakuna wenye busara wa kunena na kuandika kutokuungana na CUF yet mkatoa sababu zingine na sii kuwavunja nguvu na kutangaza bifu, kwa wengine CUF iko juu mbali zaidi ya CDM na walipofikia Zanzibar is desired most kwa yeyote mpenda mabadiliko-bara HUU NDIO UKWELI!!!!


JE CHADEMA HAWAJUI UKWELI??

Definitely chadema na wasomi wa type ya Slaa wanajua ukweli wanajua faida ya serikali ya umoja wa kitaifa na wanajua you can still abide to your ideology regardless of whether you are in coalition governments or not! CHADEMA WANAWADANGANYA WANACHAMA WAO na hasa JF-Kata, wanawajaza ujinga kiasi cha kuwa leo hii tuwaze tu kuwa na single party governments, YES we may have that lakini sio kwa kukashifu kuwa coalition govern. Ni mbaya!!! Na hawawezi kuungana na CUF Kwa sababu hiyo, huu upupu wa kihistoria utaandikwa kila leo kwa ku-joke chadema, tupo..jamani

Chadema chini yawafanyabiashara wanajua fedha za kambi ya upinzani wanazopata wao ni zao kwa sasa na hazitakiwi kugawanywa! What a selfish!!! Then they tell people cheap reasons why CUF is not among them??


WITO

Yes I know and I believe kuna matusi kibao yatatoka kwa ‘JF-Chadema kata’, kuna wenye hoja watatoa, ‘JF-Chadema wakongwe ‘, kuna hoja na supportive documents zitatoka kwa wote wenye kupenda mabadiliko hawa ni JF-huru!

Jamani taifa hili litajengwa na wote, tukifikia muda wa kugawanyika CCM hatoki na tutaishia kusema tu na mvi zinakuja inakuwa mwaka wa 2015 na 2100 CCM will be in power.

After all CHADEMA they are not so opportunist and influential they can buy what is happening in Mistri, Jordam and Yemen… hawana muda huo wala hawawazi hayo, yet kuna watu mnalilia chadema , kutotaka kufikiri matokeo (results)/output ndio imetufikisha hapa tulipo leo. Hii ndilo linakujwa swali je hawa CDM hawakujua katiba na NEC ina matatizo kabla ya uchaguzi? Walifikiri wataichukua Tanzania watawale kama CCM? Hivi hula za kichadema na ki-ccm kwa namna gani zimetofautiana kwa matendo yao?? Msio taka kusikia shauri zenu ,

CHADEMA STOP THIS NONSENSE OF SAYING THAT CUF ISA PART OF GOVERNMENT GO TO SCHOOL!!!!! we dont trust you either!



References


Read more:
WIKIANSWER
Wikipedia
Tamko la chadema

sitajibu vijembe, matusi, na statement za hasira au zenye conclusion zisizo na tija, count your post wasted or applauded na wafuata mkumbo, nitajibu hoja zilizoenda shule..........


Haya chakula hicho!

Naona uchu wa uwaziri kivuli umewadanda. Hakuna ulazima wa cuf kuwa kwenye kambi rasmi, kuwepo tu bungeni kwa tiketi ya chama cha upinzani tayari ni upinzani, bado wanataka nini tena? Mtaumia sana mwaka huu.
 
Copy + Cut + Paste + Confusing language/info/x = Inflammatoryx

Pole kwa kazi kubwa uliyofanya - my suggestion for you next time, usitumie sana taarifa za kwenye websites, na hata ukizitumia jaribu kutoa maana unayotaka kutoka katika hizo taarifa ili uweze kujenga hoja kuendana na hali ya vyama na nchi yetu inavyokwenda. Tujaribu ku "contextualise" whatever information we access / receive from other sources. Look at the font type and size...mmm :coffee:.
 
Mwita huwa sipendi sana kujibu post zako zimekaa kishabiki zaidi kuliko hali halisi!

Narudia silazimishi CDM kuungana na CUF!!! there is no where I have suggested that, rather I am saying reasons that CDM used to expel CUF was not proper!! naona unarudia kosa hilo hilo.

Kuhusu NGU, CG, Grands governments n.k nimeweka definition please dispute that definition, soma post no.36 uone naelezea nini maana naona bado uuko kwenye dunia ya 'upinzani' na sio ideology. usiseme hatuungani na CUF kwa sababu ni sehemu ya serikali..ukisema hivi unachukulia upinzani as to be against na sio upinzani kama ideology na different alternative!!! je wananchi watafaidika na haya maneno yenu yasiyo na tija kwa taifa, leo hii CDM wakishika nchi basi TLP ni wapinzani..hata kama wanafanya mazuri, hii ndio dunia yako ubadilike sasa mkuu
Mimi ningedhani kaka, ungeraribu kujibu kwa ufupi kidogo, maswali yanayotokana na faida za CUF kuwa kwenye kambi rasmi ya upinzani,
CUF kilivyo sasa, au kwa kutoa mfano na chama kingine duniani kilicho na muundo kama wa CUF duniani, yani kimo kwenye serikali iliyo madarakani upande mmoja wa upinzani na kiko kwenye upinzani upande wa muungano, je utaratibu wa kazi wa chama hisho serikalini au kwenye upinzani unakuwaje?
Wengine sie tunajifunzia humu JF, kwa hio tunawategemea sana nyie wataalamu mtueleweshe bila kumung'unya maneno, pia naomba usichoke kutuelewesha kwani kama unavyoona hii ni mada iliopendwa na wengi.
Pia jipe moyo , huwa kuna wanafunzi ambao wanapenda kubishana(kuchallenge) na waalimu wao
 
Mwita huwa sipendi sana kujibu post zako zimekaa kishabiki zaidi kuliko hali halisi!

Narudia silazimishi CDM kuungana na CUF!!! there is no where I have suggested that, rather I am saying reasons that CDM used to expel CUF was not proper!! naona unarudia kosa hilo hilo.

Kuhusu NGU, CG, Grands governments n.k nimeweka definition please dispute that definition, soma post no.36 uone naelezea nini maana naona bado uuko kwenye dunia ya 'upinzani' na sio ideology. usiseme hatuungani na CUF kwa sababu ni sehemu ya serikali..ukisema hivi unachukulia upinzani as to be against na sio upinzani kama ideology na different alternative!!! je wananchi watafaidika na haya maneno yenu yasiyo na tija kwa taifa, leo hii CDM wakishika nchi basi TLP ni wapinzani..hata kama wanafanya mazuri, hii ndio dunia yako ubadilike sasa mkuu


Waberoya, hakuna anayemlazimisha mwenzake kujibu post yake.
Huu ni mjadala ambao umeuleta na sisi tunawjibika kutoa mawazo yetu, kama hayakupendezi ama hayakubaliani na muono wako inabidi ukubaliane na hali hiyo. Kwani mara ngapi umeleta mijadala hapa na nikai-support? sifanyi hivyo kukufurahisha mazee ninatoa mawazo yangu kama ambavyo na wewe unatoa mawazo yako.Kama ni ushabiki hata wewe ni mshabiki, inawezekana tu kwamba mimi nashabikia yanga na wewe unashabikia simba, kwahiyo hata uhalisia ninaouona basi wewe unauona kwa jicho la ushabiki.

Sasa kiongozi wangu nataka twende hatua kwa hatua; unasema nitofautishe ideology na upinzani, kitu ambacho naamini kwamba ninajua kuvitofautisha, labda unisaidie kukuelewa unatofautishaje upinzani na ideology ili twende pamoja, tena kwa kuzingatia siasa za kitanzania ama kiafrika. Manake hapa unataka tufanye siasa za kimarekanoi wakati sisi ni walewale waafrika watanzania. Wamarekani hawakufika huko waliko kiurahisi, wamepitia hatua kwa hatua, miaka na miaka. Na kama unataka tufanye siasa za kimarekani, je ni kwa cdm kushirikiana na cuf ama kuna issues kubwa za kitaifa zinapaswa kufanywa ili kufikia hilo lengo?

Kwa suala la kama cdm ikishinda tlp inakuwa upinzani liko bayana kabisa. lazima kunakuwepo na chama kinachounda serikali na kunakuwepo na chama/vyama vya upinzani. Sasa kama neno upinzani ndilo linakupa shida basi unaweza kuita chama/vyama mbadala.
 
Mimi ningedhani kaka, ungeraribu kujibu kwa ufupi kidogo, maswali yanayotokana na faida za CUF kuwa kwenye kambi rasmi ya upinzani,
CUF kilivyo sasa, au kwa kutoa mfano na chama kingine duniani kilicho na muundo kama wa CUF duniani, yani kimo kwenye serikali iliyo madarakani upande mmoja wa upinzani na kiko kwenye upinzani upande wa muungano, je utaratibu wa kazi wa chama hisho serikalini au kwenye upinzani unakuwaje?
Wengine sie tunajifunzia humu JF, kwa hio tunawategemea sana nyie wataalamu mtueleweshe bila kumung'unya maneno, pia naomba usichoke kutuelewesha kwani kama unavyoona hii ni mada iliopendwa na wengi.
Pia jipe moyo , huwa kuna wanafunzi ambao wanapenda kubishana(kuchallenge) na waalimu wao

Ahsante kiongozi,
Nadhani hilo ni swali la muhimu sana waberoya akitusaidia tena kwa mifano kama alivyotutajia nchi zinazounda serikali za mseto na serikali za umoja wa kitaifa huko duniani. Atufahamishe na vyama vinavyoshiriki upande mmoja kuunda serikali za umoja wa kitaifa na kwa upande wa pili vikashirikishwa kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni.
 
Guys in short and let me done in this point, we have a very wrong definition of upinzani!! upinzani kwetu ni to be against na sio kuwa na different ideology ya kuleta maendeleo kwa wananchi nasikitika sana hata Slaa ana mawazo haya!!!! huu nu ujinga wa kupindukia na chadema wameeneza uongo huu kwa wananchi kwa malengo yao wanayoyajua wao wenyewe!!! kama issue ya kuaminiana ni option chama chochote kinaweza kutoaminiwa, regardless kiko kwenye power au la, issue ya serikali ya mseto ni desirable hapa nchini, TUKIWEKA UPINZANI NI TO BE AGAINST THEN WE DONT HAVE IDEOLOGGIES GOVERNNING THIS INSITUTION, namalizia ni haki kabisa cdm kutoungana na cuf, ila sababu isiwe eti cuf ni sehemu ya serikali, hii inaifanya chadema kuwa joke of the century, hii sio sababu hata kidogo.

Pili kwa chadema inayoyapitia sasa na tuhuma zote walizonazo wakae chini na kuangalia metholdogy ya wao kujikoa, propaganda zinaua vyama jamani, hamtaki kunielewa shauri zenu, will recall these posts in near future.
 
Guys in short and let me done in this point, we have a very wrong definition of upinzani!! upinzani kwetu ni to be against na sio kuwa na different ideology ya kuleta maendeleo kwa wananchi nasikitika sana hata Slaa ana mawazo haya!!!! huu nu ujinga wa kupindukia na chadema wameeneza uongo huu kwa wananchi kwa malengo yao wanayoyajua wao wenyewe!!! kama issue ya kuaminiana ni option chama chochote kinaweza kutoaminiwa, regardless kiko kwenye power au la, issue ya serikali ya mseto ni desirable hapa nchini, TUKIWEKA UPINZANI NI TO BE AGAINST THEN WE DONT HAVE IDEOLOGGIES GOVERNNING THIS INSITUTION, namalizia ni haki kabisa cdm kutoungana na cuf, ila sababu isiwe eti cuf ni sehemu ya serikali, hii inaifanya chadema kuwa joke of the century, hii sio sababu hata kidogo.

Pili kwa chadema inayoyapitia sasa na tuhuma zote walizonazo wakae chini na kuangalia metholdogy ya wao kujikoa, propaganda zinaua vyama jamani, hamtaki kunielewa shauri zenu, will recall these posts in near future.


Mwanazuoni kama wewe hukutakiwa kuhitimisha mjadala kwa staili hii.

Kwa kiswahili rahisi kabisa inaonekana hilo ni dua la kuku, halimpati mwewe kamanda.

anyway, hayo ni mawazo yako na una haki ya kusema hivyo.
 
Mimi nataka niulize swali moja kwa viongozi wa CUF kama wako huku wanijibu.

CUF na CCM wana sera na mweleko tofauti katika kutimiza mahitji ya wananchi mfani ni kama ifuatavyo:


1. CUF wana sera ya kushughulikia mafisadi ambao wengi wao ni wanachama na viongozi wa CCM, Je katika serikali ya umoja wa kitaifa CUF ina nafasi gani ya kuyatimiza haya?


2. CUF wana sera ya kufutilia mbali mikataba mibovu ya madini, Nishati n.k wakati mikataba hii ndio inayoinufaisha CCM na viongozi wake Je katika serikali ya umoja wa kitaifa CUF wanasimamia wapi?


3. CUF miaka ya nyuma ilikuwepo katika kudai katiba mpya ambayo ndiyo kichaka kikubwa cha maovu ya CCM na Viongozi wao je serikali ya umoja wa kitaifa inasimamia sera gani, ya kuwa na katiba mpya au kuendelea na katiba ya sasa?


NOTE: Kwa muda sasa sijasikia Maalim Seif akizungumzia katiba mpya na ufisadi unaoendelea nchini je ndio kusema amepata alichokuwa anakitafuta au kajiwekea kitanzi? na ninapozungumzia CUF ina maana ni Visiwni na Bara.


Baada majibu haya yatafuata maswali mengine.
 
Ahsante kiongozi,
Nadhani hilo ni swali la muhimu sana waberoya akitusaidia tena kwa mifano kama alivyotutajia nchi zinazounda serikali za mseto na serikali za umoja wa kitaifa huko duniani. Atufahamishe na vyama vinavyoshiriki upande mmoja kuunda serikali za umoja wa kitaifa na kwa upande wa pili vikashirikishwa kuunda kambi rasmi ya upinzani bungeni.

what is upinzani may be we should start from here!!! siamini kama hauelewi kwa ninavyokufahamu, ideology inahama?? acha kuniaibisha au hukuwahi kufikiria kabla?? anza sasa!
 
Duu wakuu mnajadili mavitu magumu kweli...tatizo hatuwezi kuyasoma sas simnajua tena umeme hakuna
 
Guys in short and let me done in this point, we have a very wrong definition of upinzani!! upinzani kwetu ni to be against na sio kuwa na different ideology ya kuleta maendeleo kwa wananchi nasikitika sana hata Slaa ana mawazo haya!!!! huu nu ujinga wa kupindukia na chadema wameeneza uongo huu kwa wananchi kwa malengo yao wanayoyajua wao wenyewe!!! kama issue ya kuaminiana ni option chama chochote kinaweza kutoaminiwa, regardless kiko kwenye power au la, issue ya serikali ya mseto ni desirable hapa nchini, TUKIWEKA UPINZANI NI TO BE AGAINST THEN WE DONT HAVE IDEOLOGGIES GOVERNNING THIS INSITUTION, namalizia ni haki kabisa cdm kutoungana na cuf, ila sababu isiwe eti cuf ni sehemu ya serikali, hii inaifanya chadema kuwa joke of the century, hii sio sababu hata kidogo.

Pili kwa chadema inayoyapitia sasa na tuhuma zote walizonazo wakae chini na kuangalia metholdogy ya wao kujikoa, propaganda zinaua vyama jamani, hamtaki kunielewa shauri zenu, will recall these posts in near future.

Wewe unatoa maana ya upinzani kwa upeo wako, hatujawahi kusikia CCM wanasema watatoa elimu bure CDM au CUF wakasema elimu isiwe bure, hatujawahi kusikia CCM wanaonyesha kwa vitendo kushughulikia mafisadi CUF au CDM wakasema NO.
Vile vile hatuoni kama katika maendeleo tunapiga hatua mbele sasa unataka tusiwe wapinzani wa CCM unataka tufanye nini.

Unasema kuwa Chama kingine ni kuwa na "different ideology ya kuleta maendeleo", kama upinzani wanataka watu wapewe elimu yenye tija kwa maendeleo yao, Chama tawala hakitaki rusults ni nini si ndio kupingana.

Sema unachokitaka usizunguke sana, kama ni unakiunga CCM mkono no hiari yako si kwa kuzunguka zunguka ilimradi tu uwachanganye watu.


Mimi nawaunga mkono wapinzani mpaka mwisho
 
Out of curiousity, hivi haya mainflamatory ndo pia yanasababisha mainflation?
 
Guys in short and let me done in this point, we have a very wrong definition of upinzani!! upinzani kwetu ni to be against na sio kuwa na different ideology ya kuleta maendeleo kwa wananchi nasikitika sana hata Slaa ana mawazo haya!!!! huu nu ujinga wa kupindukia na chadema wameeneza uongo huu kwa wananchi kwa malengo yao wanayoyajua wao wenyewe!!! kama issue ya kuaminiana ni option chama chochote kinaweza kutoaminiwa, regardless kiko kwenye power au la, issue ya serikali ya mseto ni desirable hapa nchini, TUKIWEKA UPINZANI NI TO BE AGAINST THEN WE DONT HAVE IDEOLOGGIES GOVERNNING THIS INSITUTION, namalizia ni haki kabisa cdm kutoungana na cuf, ila sababu isiwe eti cuf ni sehemu ya serikali, hii inaifanya chadema kuwa joke of the century, hii sio sababu hata kidogo.

Pili kwa chadema inayoyapitia sasa na tuhuma zote walizonazo wakae chini na kuangalia metholdogy ya wao kujikoa, propaganda zinaua vyama jamani, hamtaki kunielewa shauri zenu, will recall these posts in near future.
Duu! Mkuu, we kiboko, yaani mda huu wote umeshindwa kujibu/kukubali ukweli kuwa hakuna duniani nchi yoyote ambapo chama kwa wakati mmoja kimekuwa/shiriki kuunda serikali na wakati huohuo kikawa nje ya serikali??(sijatumia neno upinzani). Na please tusaidie, umepinga kwenye post zako nyingi Cuf isiitwe ni SEHEMU ya serikali!! hivi huko zanzibar nani ni sehemu ya serikali? Je, ni Ccm pekee???
 
It is ok, sibaliki wala silazimishi muungano wa cuf na cdm, japo unaweza kuwa na impact in near future.ninachopinga ni sababu inayotolewa na cdm kuwa cuf ni sehemu ya serikali, hii sababu inaidhalilisha chadema yote kuwa still hawajui upinzani ni ideology sio kuwa against!!!!!!!!!!!!!!!
Waberoya,
CUF ni sehemu ya Serikali ya Mapinduzi( Sorry, ya Nchi ya Zanzibar!) ya Zanzibar. Sasa hivi Maalim Seifu ni Makamu wa Kwanza( sio wa pili) wa SERIKALI ile ingawa cheo hiki hakimo kwenye KATIBA yetu ya JMT. Maalim Seif pia ni Katibu Mkuu wa CUF. Mpangilio huu unaidhalilisha CUF sio CHADEMA.
 
Duu! Mkuu, we kiboko, yaani mda huu wote umeshindwa kujibu/kukubali ukweli kuwa hakuna duniani nchi yoyote ambapo chama kwa wakati mmoja kimekuwa/shiriki kuunda serikali na wakati huohuo kikawa nje ya serikali??(sijatumia neno upinzani). Na please tusaidie, umepinga kwenye post zako nyingi Cuf isiitwe ni SEHEMU ya serikali!! hivi huko zanzibar nani ni sehemu ya serikali? Je, ni Ccm pekee???
good choice of words!
Tatizo moja hapa tunapoongelea mambo ya chama fulani ni rahisi mtu kuwaza zaidi zile personalities, na powers zinazoandamana nazo.
Sijui wenzangu ila ninaposema CDM, CCM, CUF na maana fikra wanazosimamia (walizotuambia na wanazotekeleza) nina maana afya, elimu, uchumi nk, nikisema upinzani nina maana ya sera/mtazamo mbadala wa walio madarakani kwa sasa.
 
what is upinzani may be we should start from here!!! siamini kama hauelewi kwa ninavyokufahamu, ideology inahama?? acha kuniaibisha au hukuwahi kufikiria kabla?? anza sasa!

Mkuu,
Kuna watu hapo juu mmoja wapo stein amekuuliza baadhi ya mambo yanayovitofautisha vyama vya ccm,cuf na cdm labda ujibu ili tupate kukufahamu zaidi.
Lakini pia naona unachanganya kati ya upinzani na uadui, manake hapa tunazungumzia upinzani katika context ya utofauti wa itikadi(ideology) lakini wewe unauzungumzia upinzani katika context ya uadui, hapo hatuwezi kukubaliana kamanda kama tafsiri ya upinzani inakupiga chenga kiasi hicho.
Ni vizuri ukaacha kurukaruka kama layman, wewe ni mwanazuoni majibu na hoja zako ni vizuri yakasimama kwenye hoja. Jaribu kuwa tofauti na kiongozi wangu Mtatiro Julius(samahani wa nyumbani kwa kukutolea mfano).
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom