You have accepted to be divided, prepare yourselves to be ruled
Kama true vile!!!
You have accepted to be divided, prepare yourselves to be ruled
Naanza hoja yangu kuangalia msimamo wa chadema kwa CUF na kueleza ukweli kuhusu caolition governments
Maana yake:
A coalition government is where two or more political parties join together in parliament/assembly to run the government and agree on a policy programme
Faida zake:
- Government will be more consensus-based: resulting policies will be broadly approved of
- Better representation of the electorate's wishes
- Better quality of policy: enhanced scrutiny and increased attention paid to each policy
Hasara zake:
- Increased continuity: election does not lead to dramatic overhaul which can produce fragmented rule2
· The most obvious criticism of Proportional Representation is that it could form coalition governments. This is seen by some as a majorly bad thing as it supposedly does not allow strong government. Having more than one party in charge of decision making could cause a lot of arguments between the leaders of the country as the top ministers may have opposing political ideologies and views. It could also mean that it is very hard to get policy through the governmental process meaning government could be overall less effective in the running of the country.
· It could also cause an overly expanded Cabinet to cater for everyones needs in the Government, which could lead to much needless expenditure.
· There could also be many arguments, which cause Cabinets to split and some important policy to be suspended to do the impossible task of keeping everybody happy
Mifano ya nchi zinazounda serikali ya umoja wa kitaifa
Europe:
Albania, Andorra, Austria, Belgium, Croatio, Belgium, Czech, Denmark, Finland, Estonia, Germany, Iceland, Ireland, Italy, Kosovo,Latvia, Lithuania, Luxembourg, Monaco, Montenegro, Netherlands, Norway, Poland, Romania, Serbia, Slovakia, Slovenia, Sweden, Switzerland ( has been ruled by a coalition of the four strongest parties in parliament from 1959 to 2008 called the magic formula), Ukraine and UK
Americas
Chile, Trinidad and Tobago, Suriname, Canada.
Africa:
Algeria, DRC Congo, Gabon, Guinea-Bissau, Kenya, Mali, Mauritania, Mauritius, Morocco,Senegal, Zanzibar Island, and Zimbabwe (was proposed not sure if still exists)
Asia
Armenia,Bangladesh,Cambodia,India,Indonesia,Iraq, Isarel, Japan, Lebanon, Malaysia, Maldives, Pakistan, Sri-Lanka, Thailand, Timor-Leste
Ocenia
Australia, New Zealand, Papua New Guinea, Vanuatu
Kwa nini huwa inaundwa?;
The usual reason given for this arrangement is that no party on its own can achieve a majority in the parliament. A coalition government might also be created in a time of national difficulty or crisis, for example during wartime, to give a government the high degree of perceived political legitimacy it desires whilst also playing a role in diminishing internal political strife. In such times, parties have formed all-party coalitions (national unity governments, grand coalitions)1
Kwa nini nchi nyingi zenye mfumo huu zimeendelea ?
Pamoja na hasara zake which is debatable advantages of coalition governments is far million times better than its disadvantages. How and why
1. Kutenganisha siasa na utendaji kazi wa serikali , kwa mfano Japan average ya prime minister kwa mwaka!, karibu kila mwaka wanakuwa na waziri mkuu mpya ambaye ni kama rais wa nchi! Still economic activities are growing up very fast!! Ufike muda tuone utendaji wa kisiasa unakuwa kwenye kushindana ku-implement policies na sio kuingilia professionals. Kwa sababu hii nchi nyingi zimefanikiwa kuendelea pamoja na kuwa coalition governments ina udhaifu wake lakini afadhali kuliko kutokuwa nayo
2. IKIFIKIA level, au wakati kuwa uamuzi wowote mzuri regardleess umetolewa na chama gani unafaa kuungwa mkono then that is a sign and good grounds of endorsing this system. Ifikie muda kila kiongozi anawaza mema kwa ajili ya nchi yake na KUPATA UONGOZI SI KWENDA KUJIONYESHA KUWA WEWE NI RAIS BALI KUTATUA MATATIZO FULANI YA NCHI YAKO KWA LENGO LA KULETA MABADILIKO AMBAYO YATALINDA HESHIMA YAKO.
3. Kuwa siasa sio uadui bali ni ushindanifu wa hoja, malengo, policy na ni hulka kamili ya binadamu kutofautiana na ni jambo la kukusudiwa na kila mmoja kujenga nchi moja pamoja na kuwa mnaweza kuwa na mitazamo tofauti, if we will reach this stage we are through!
Je kuna faida gani au kwa nini serikali ya umoja wa kitaifa ni muhimu hasa kwa nchi za dunia ya tatu ambazo vyama vingi ni vile vya kibeberu.
Kuna solutions mbili kubwa aidha kuwatoa kwa nguvu, maana ballot box cannot do anything! You heard me! But if we inclined to accept evolution not revolution then second option i.e coalition government is another good techniques ya kuwaondoa mabeberu!! Why and how
FAIDA YA serikali ya umoja wa kitaifa Tanzania
1. Ni kichekesho na uhuni na uvunjivu wa haki za kibinadamu kuwa chama fulani kikipata kura asilimia 60 then wanaongoza nchi yote regardless of those 40% who did support them. Kwa mfano haingii akilini kuwa kikwete alipata asilimia 60 then wengine hawatakiwi kuunda serikali!!! Ambao tulisupport vyama vingine itakuwa rahisi na vizuri tukiwakilishwa serikalini walau kupata wizara kulingana na idadi ya kura zilizopatikana, let say CDM inapata wizara 3 out of 10! Is well and good
2. Serikali ya umoja wa kitaifa inavipa breakthrough vyama vingine kwa kuonyesha uwezo wao wa kiutendaji na kujenga hoja, this is like a continuing evaluation ya kuwa je CDM wamepewa wizara 3 wanafanya vizuri wakipewa urais si ndiyo watafanya vizuri zaidi?
3. Serikali ya umoja wa kitaifa inaviimarisha vyama, inajijenga na kupanua demokrasia ambayo tunaona haipo si kwenye chama tawala hata vya upinzania pia. Kwa mfano tulishuhudia Hilary na Obama wakipambana kwa hoja na sera zao ngali wako chama kimoja na mwisho wa siku wakamaliza vyema!!! Kama tunalipenda taifa we can still argue while we are in the same governments! Hii ni level ya juu lakini ni nzuri
4. KUBWA KULIKO YOTE ni kuwa serikali ya umoja wa kitaifa itahimiza watu kujitokeza kupiga kura wakiamini kuwa wingi wa kura zao ndio unaipa nafasi kubwa chama chao kushika serikali, MOTISHA YA KUPIGA KURA NI KUBWA SANA KWENYE HZI SERIKALI NA WATU HAWAKATI TAMAA kuwa hata nipige vipi CCM watapita
5. Kufanya maamuzi ya kijinga ya kichama inakuwa ngumu kwenye cabinet
6. Msisahau wanasiasa ni wanasiasa they are born with same parents! Coalition governments inaweka msimamo kuwa hakuna chama kinachoa AMINIWA
Je what can we do now?
Mabadiliko ya katiba yanatakiwa ya accommodate issue nyingi ikiwemo hili
Je CUF na CCM Zanzibar hali ikoje?
Nimekaa Unguja na nimeona mabomu yakipigwa kwa wana CUF, na mimi kuathirika, nimeshuhudia chaos nyingi kwa macho yangu na leo hii natamani nirudi unguja nione hali ikoje!!! Coalition governments was the only solution for that situations! Wanaoibeza CUF idha hawajui maana ya caolition, hawajui kilichokuwa kinaendelea Zenj na wako blindly kuhusu nini maana ya coalition. Ni mwanzo mzuri sana ila inabidi iende mbali zaidi kuzungumzia
Vipi kuhusu tamko la CHADEMA na MSIMAMO WA CHADEMA
I dont support that tamko kwa sababu hizi
1. Chadema imefail kuwaambia au kujibu hoja ya coalition governments kwa greater heights, wanajibu cheaply kuwa CUF NI sehemu ya serikali!!! Kuwa sehemu ya serikali hakukupi mwanya kuwa usisimamie unachokiamini ndiyo maana USA hatuvitaji Republican kama ni chama cha upinzani!! Tunakitaja kwa majina yao ndivyo walivyo, IFIKIE MUDA TUSEME YULE NI MCHADEMA SIYO KWA SABABU NI MPINZANI KWA SABABU YA YALE UNAYOYASIMAMIA!!!
2. They have depicted high level of ignorance regarding coalition governments, KWANZA KAMA VILE HAZIPO, pili kama vile ni mbaya, same chadema waliungana na CCM huko Kigoma kwenye umeya na that was good example of coalition government type
3. Kukataa coalition governments kuna onyesha vitu viwili, CHADEMA wana uroho wa madaraka na wanaiona TANZANIA KAMA NYAMA FULANI INATAKA KUDONDOKA NA WAO WANATAKA KUIRUKIA .., Tanzanias are very clever the only thing that CDM will be supported if they can agree that coalition governments is a solution because people dont trust them either! Believe me humu JF kuna tendency ya kutoangalia ukweli wa kulijenga taifa ila ni ubishi wa kishindani usio na maana kutaka cheap popularity ya ghost members usiowaona, can you stand alone?
4. Chadema imejiwekea wigo wa kujionyesha kuwa they can fight corruption alone and only alone!!! Hii ni hatari sana kwa wapenda mabadiliko , umoja wa kitaifa kupinga yanayorudisha taifa nyuma ni wajibu wakila mtu regardless of which part he belongs. Leo hii ni nadra CDM kuunga mkono CUF kile ambacho hata wao wanakipigania huu ni utoto na high level of stupidity na ni sumu mbaya sana kwa wapenda maendeleo
5. Chadema ina ona kila wanachokisema kiko sahihi simply kwa kuwa na wabunge 47 kati ya zaidi ya 200! Baadhi ya watanzania na ujinga wao wanaamini CDM inaweza ikafanya maajabu bungeni!!!! Hizi ni ndoto za alinacha
6. CDM baada ya kuchanganyikiwa na matokeo bado haija recover from that shock!!! Maamuzi yake, misemo yake, mienendo yake si ya UTAIFA BALI NI UCHADEMA this is catalysed by the fact that they have money from our kodi (ruzuku) this made them to forget that they are making history today that will be a joke of tomorrow!!!! History is being written kuna vitu in near future itakuwa ni ngumu sana kwa watu kuvimeza kwa sababu ya makosa ya leo,
7. Kama ni kutofautiana na CUF na vyama vingine, is better they use a better language au kutoa sababu zingine na si kuwa CUF NI SEHEMU YA SERIKALI, HUU NI UOZO MKUBWA SANA AMBAO KWA KAMATI KUU YA CHADEMA HAIKUPASWA KUANDIKWA, ni uozo unaoelezea mawazo na nia yao kwenye hii nchi ni nini, kweli hakuna wenye busara wa kunena na kuandika kutokuungana na CUF yet mkatoa sababu zingine na sii kuwavunja nguvu na kutangaza bifu, kwa wengine CUF iko juu mbali zaidi ya CDM na walipofikia Zanzibar is desired most kwa yeyote mpenda mabadiliko-bara HUU NDIO UKWELI!!!!
JE CHADEMA HAWAJUI UKWELI??
Definitely chadema na wasomi wa type ya Slaa wanajua ukweli wanajua faida ya serikali ya umoja wa kitaifa na wanajua you can still abide to your ideology regardless of whether you are in coalition governments or not! CHADEMA WANAWADANGANYA WANACHAMA WAO na hasa JF-Kata, wanawajaza ujinga kiasi cha kuwa leo hii tuwaze tu kuwa na single party governments, YES we may have that lakini sio kwa kukashifu kuwa coalition govern. Ni mbaya!!! Na hawawezi kuungana na CUF Kwa sababu hiyo, huu upupu wa kihistoria utaandikwa kila leo kwa ku-joke chadema, tupo..jamani
Chadema chini yawafanyabiashara wanajua fedha za kambi ya upinzani wanazopata wao ni zao kwa sasa na hazitakiwi kugawanywa! What a selfish!!! Then they tell people cheap reasons why CUF is not among them??
WITO
Yes I know and I believe kuna matusi kibao yatatoka kwa JF-Chadema kata, kuna wenye hoja watatoa, JF-Chadema wakongwe , kuna hoja na supportive documents zitatoka kwa wote wenye kupenda mabadiliko hawa ni JF-huru!
Jamani taifa hili litajengwa na wote, tukifikia muda wa kugawanyika CCM hatoki na tutaishia kusema tu na mvi zinakuja inakuwa mwaka wa 2015 na 2100 CCM will be in power.
After all CHADEMA they are not so opportunist and influential they can buy what is happening in Mistri, Jordam and Yemen hawana muda huo wala hawawazi hayo, yet kuna watu mnalilia chadema , kutotaka kufikiri matokeo (results)/output ndio imetufikisha hapa tulipo leo. Hii ndilo linakujwa swali je hawa CDM hawakujua katiba na NEC ina matatizo kabla ya uchaguzi? Walifikiri wataichukua Tanzania watawale kama CCM? Hivi hula za kichadema na ki-ccm kwa namna gani zimetofautiana kwa matendo yao?? Msio taka kusikia shauri zenu ,
CHADEMA STOP THIS NONSENSE OF SAYING THAT CUF ISA PART OF GOVERNMENT GO TO SCHOOL!!!!! we dont trust you either!
References
Read more:
WIKIANSWER
Wikipedia
Tamko la chadema
sitajibu vijembe, matusi, na statement za hasira au zenye conclusion zisizo na tija, count your post wasted or applauded na wafuata mkumbo, nitajibu hoja zilizoenda shule..........
Haya chakula hicho!
oo My God! Huu ndo ujinga uliopo bongo! hichi nacho ni cha kusema wazi kwenye jukwaa la great thinker? hii ni aibu!
Tukumbuke kuwa CUF kwa sasa ni undefined organ; upinzani wanataka,lakini wakati huohuo wao wanaongoza serikali kwa kushirikiana na CCM, linapokuja swala la maamuzi ya kiutawala watakaa na CCM, Kwa upande mwingine linapokuja swala la kuipinga serikali ya CCM wao pia wanataka washirikishwe na CDM.Hili ni janga la kitaifa kuwa na chama cha aina hii.
Hatuwezi kuwaona CUF kama chama cha siasa, kwani hakina tija kwa watanzania.
It is ok, sibaliki wala silazimishi muungano wa cuf na cdm, japo unaweza kuwa na impact in near future.ninachopinga ni sababu inayotolewa na cdm kuwa cuf ni sehemu ya serikali, hii sababu inaidhalilisha chadema yote kuwa still hawajui upinzani ni ideology sio kuwa against!!!!!!!!!!!!!!!
Weberoya, mtu mwenye akili timamu kwa sasa hawezi kuwashauri viongozi wala wanachama wa CDM kwa kuwa kama ulivyosema mwenyewe bado hawajaamka kutoka katika mshtuko wa matokeo ya uchaguzi, nakushauri save ushauri wako for now watakuja kuutafuta wenyewe kwako, unless unataka matusi endelea.
Tatizo lililopo ni kuwa vyama vyetu hivi vinaubinafsi sana hatuna dhamira ya pamoja ya kujali maslahi ya taifa kwanza.
Natambua umuhimu wa kuunganisha nguvu lakini kwa mazingira ya sasa ya kisiasa ni ngumu.Bado vyama vyetu havijawa na ukomavu wa kujali maslahi ya taifa kwanza,hakuna chama kinachokubali kuona chama chenzake kipata maendeleo.
Siasa ni Ushindani,tumeshindana tumeshinda lets enjoy our cake.
Siasa za wenzetu sio sawa na za kwetu,kwetu siasa ni upepo,leo unavuma huku kesho kule.siasa zetu hazieleweki,hazishikiki,hazitabiriki.Zipo tu zinaelea,itakavyotokea ndio hivyo hivyo,ilimradi siku zimekwenda.
.
Msingi wa hoja ni muhimu sana katika kujenga hoja. Ukishakosea msingi lazima ukosee hitimisho. Na ndivyo alichofanya Waberoya. Hoja ya Waberoya imejengwa katika msingi kwamba CHADEMA hawathamini mwafaka wa Zanzibar, na ndiyo maana hawataki kuungana nao. Na kwa sababu amekosea msingi wa hoja, utakuta kwamba, pamoja na kwamba kaandika maandishi mengi, marefu na mazuri, na kwa kweli katoa elimu nzuri sana kuhusu sababu za vyama kuungana, lakini utakuta kwamba hitimisho lake limipinda kwa sababu msingi wa hoja wa hoja ulikuwa umepinda.
Waberoya ametoa sababu kubwa mbili za vyama kuunda serikali ya pamoja, ambazo ni: i) pale ambapo hakuna chama kilicho na majority bungeni kama ilivyotokea UK kwenye uchaguzi wa juzi. Labda niongeze kwamba vyama vya upinzani vinaweza kuungana pale ambapo hakuna chama kinachoweza kuunda kambi ya upinzani bungeni peke kwa mujibu wa kanuni. Na hiki ndicho kilichotokea katika Bunge letu lililopita-si CUF wala CHADEMA waliokuwa na uwezo wa kuunda kambi rasmi ya upinzani kikanuni peke yao. Hivyo vikalazimika kuunda kambi ya pamoja. Kwa leo hii, sababu hii haipo kwa sababu kikanuni CHADEMA wametimiza masharti ya kuunda kambi peke yao. Kwa hiyo sababu hii haina sababu! Ile ya pili ina nafasi Zanzibar na ndio essence ya mwafaka lakini sio katika upande wa muungano.
Ni vizuri kuweka sawa swala la Mwafaka na CHADEMA ambalo ndio msingi wa hoja ya Waberoya:
i) CHADEMA tunathamini sana mwafaka wa Zanzibar na tulikuwa miongoni mwa taasisi za mwanzo kabisa kuwapongeza vyama vya CUF na CCM na tunaendelea kuwapongeza kwa uamuzi wao uliotanguliza maslahi ya nchi dhidi ya vyama. Tunatambua kwa dhati kabisa kuwa mazingira ya siasa yaliyofikiwa Zanzibar yalihitaji serikali ya Umoja wa Kitaifa. Kusema kweli hili ni jambo ambalo Mwalimu Nyerere alilisema tangu uchaguzi wa mwaka 1995. Kwa hiyo hoja kwamba CHADEMA hawakufurahishwa au hawathamini mwafaka haina mshika wala maana yeyote na wala siyo hoja ya msingi hapa.
ii) Ukweli ni kwamba kwa mwafaka uliopo Zanzibar, CUF na CCM wameunda Serikali kwa pamoja na kwa hivyo Zanzibar hakuna tena upinzani na ndiyo maana hata Baraza la wawakilishi ilibidi warekebishe kanuni ili kufuta kambi rasmi ya upinzani bungeni. Nidyo kusema hakuna chama cha upinzani rasmi katika Baraza la wawakilishi.
iii) Binafsi na sympathize na wenzetu wa CUF kwa bara na naelewa kabisa hasira za ndugu yangu Julius Mtatiro. Wapo katika a very awkward position. Wanalazimika kuwa nusu chama tawala na nusu chama cha upinzani kwa huku bara. Sasa ni vigumu sana kujenga ushirikiano na chama cha namna hiyo. Kuingia kwenye ushirikiano ni uamuzi mgumu na una consequences zake, ikiwemo kuwa na confused identity. Ili kuwa na clear identity vyama huamua kuwa katika upande moja, ambao ni ule wa serikali. Ndicho ambo Liberal Democrats wamefanya na ndivyo ambavyo CUF wanapaswa kufanya na kusema kweli wamefanya hivyo. Katika chaguzi nyingi za madiwani wameshirikiana na CCM na wala sio CHADEMA.
iv) Ushirikiano wa vyama vya siasa unahitaji mazingira mwafaka na kuaminiana. Hamuwezi mkawa mnasema ovyo kwenye vyombo vya habari halafu mnasema mnashrikiana ili kuwaridhisha wananchi. Ifike mahala unafiki ukae pembeni mwa siasa zetu. Mazingira ya vyama vyetu hayaruhusu muungano wenye tija, na ilibidi tufanye maamuzi magumu kabisa na tutayasimamia kwa sababu tumefanya kwa misingi ya msingi na baada ya tafakuri ya kutosha. It's a tough decision, but politics are about making tough decisions and standing by them and accepting the consequences of those decisions. We believe we did the right thing and we will stand by our decision and for that we're ready to bear the consequences of our decisions, including being nagged and named!
Na ikiwa kusema ni dawa basi ni bora kuendelea kusema hata kama watatia vidole na pamba masikioni. Ukweli hautakiwi, unatakiwa kusifia hata kama ni kusifu ujinga!!Very smart Waberoya, huu ndo ukweli ambao watu humu hawapendi kuusikia. Mara kibao nimejaribu kuongea haya, lakini kwa vile watu wa humu wanaongozwa na upepo, wafata mkumbo, tafakari kwao ni mwiko. Mwenye akili na asikie
Shhhhhh! ndio haohao wanaosema "KURA ZeTU ZIMIIBWA!!" ukifikiri sana unaweza kulia kama sio kucheka! Hio ndio aina ya kizazi tulichonacho kinachopigania mageuzi na Tanzania ijayo!!oo My God! Huu ndo ujinga uliopo bongo! hichi nacho ni cha kusema wazi kwenye jukwaa la great thinker? hii ni aibu!
Waberoya,
Wewe na kaka yako mkiishia kuishi kwenye KISIWA fulani na huko kuna Mwanamke mmoja, itabidi muanze kumchangia. Hiyo si kuwa ni wazo zuri ila kwa sababu HAKUNA NJIA NYINGINE.
USA akina Obama walikuwa wengi kwenye mabaraza yao na hawakutaka kusikiliza MJUSI yeyote. Mambo yamebadilika na wengine hata wanasema kuwa itakuwa rahisi kwake kufanya kazi maana Republicans nao sasa wana sauti. Ila kabla ya hapo asingelithubutu kwenda kuwapigia magoti.
Hata CCM wangelikuwa chama cha Maslahi ya TAIFA, basi wangelikuwa wamefanya mengi sana. Ila kwa kuwa ni Wezi na Vibaka wakubwa na wana madaraka makubwa, ndiyo wametufikisha hapa tulipo.
CHADEMA kama wangelikuwa hawana jinsi, ingelibidi waungane na hao Wake WA CCM. Ila kwa hali ilivyo sasa, they can go to hell.
Inatakuwa tu urudi siku Bunge wameanza vikao. Chadema waliachwa peke yao. Hao CUF walipiga kura na CCM kuchagua Spika. Chadema walipoondoka, CUF waliwazomea na kukimbilia viti vyao. Walikuwa kama vile maatahira hivi na huwezi amini MIJITU MIZIMA na akili kichwani ingeliweza kufanya vitu vya kitoto namna hiyo.
Baadaye akaja Dr. Hamad siku ile ya mdahalo. Akamwaga matusi yake na kuonyesha jinsi alivyo Dr. hadi wa kejeli na vijembe utafikiri Kaka pacha wa Khadija Kopa. Akasema wao wataanzisha Kambi ya upinzani isiyo rasmi akitegemea kwa hilo ataendelea kutanua kwa visenti kutoka CCM. Walipomgomea na kumwambia sheria hairuhusu, ndiyo akaja na wimbo wake wa kuingizwa kwenye ngome ya upinzani.
Watu kama hawa wewe ndiyo UNAWATETEA kweli?
Kwako wewe hawa ndiyo wanajali maslahi ya RAIFA?
Kwako wewe ni CCM inajali maslahi ya taifa?
Kama na wewe unataka ndoa na Dr, Hamad Rashid, si uende tu mkafunge?
Au hata NCCR Mageuzi na bwana Kashilila sijui? Kama siyo Mbatia, sisi poa. Hata Mrema ni sawa tu.
Hawa watu kama kweli watabadilika kwa vitendo, basi tutakuwa hapa KUWAPIGIA kelele Chadema wawaingize upinzani ila siyo leo. Waonyeshe kwa dhati kuwa wako kwa ajili ya UTAIFA na si matumbo yao. Kama wewe ndiyo Dr. Hamad basi rusha vijembe vikali na ukimalize basi visome mwenyewe na ndiyo uwe UJUMBE WAKO kwako maana kwa vijembe, Dr wee mkali.