Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Idadi ya watu ikiongezeka hata productivity inaongezeka,,vivyo hivyo mapato ya nchi yataongezeka.,!!hivyo wingi wa watu sio shda.tatizo ccm wakati wote mpo 'location'!!
Hiyo theory ni wapi wewe? Embu niambie inatumika wapi? Ni nchi iliendelea bila kufanya population control?