Wakuu
mimi nataka kufanya transfer kutoka udom kwenda NIT je kwa sasa nimechelewa
Pia kwa anaejua kuhusu private candidate mana nimeskia ukiomba kama private candidate unapata chuo chochote haijalishi.
Mwenye uelewa kidogo anifahamishe tafadhari
Sijapata msaada ndugu zangu.