Pleasepast
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 325
- 454
Habarini za usiku wapendwa
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nahitaji msaada wa Mawazo chanya iko hivi kuna mwanamke nilipata naye mtoto lakini kwa bahati mbaya sana tukaja kutengana na sasa kila mtu anaishi kivyake yeye yupo na mtoto.
Kuna wakati mzazi mwenzangu anapata hasira za kuachana anaanza kusema atatengeneza cheti kingine cha kuzaliwa cha mtoto ambacho hataweka jina langu kwa sababu ananichukia sasa.
Wakuu naomba kuuliza hivi hii kitu inawezekana akabadilisha na mtoto akaanza shule na jina jingine huko alipo kwasababu amejificha nae kusiko julikana lakini mwanzo nimeishi na mtoto kama mwaka na miezi 9 na hadi cheti cha mwanzo ndio kilitumika kutengeneza kadi yake ya bima kwa mwajiri wangu.
Sasa hapa naomba kwa wanaojua wanijuze nimfanye nini kabla hajabadilisha au akibadilisha itakuaje hivi kwa kile cheti cha mwanzo.
NB: Hivi visa vipo mitaani kwetu naomba wadau toeni maoni watu wajifunze.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nahitaji msaada wa Mawazo chanya iko hivi kuna mwanamke nilipata naye mtoto lakini kwa bahati mbaya sana tukaja kutengana na sasa kila mtu anaishi kivyake yeye yupo na mtoto.
Kuna wakati mzazi mwenzangu anapata hasira za kuachana anaanza kusema atatengeneza cheti kingine cha kuzaliwa cha mtoto ambacho hataweka jina langu kwa sababu ananichukia sasa.
Wakuu naomba kuuliza hivi hii kitu inawezekana akabadilisha na mtoto akaanza shule na jina jingine huko alipo kwasababu amejificha nae kusiko julikana lakini mwanzo nimeishi na mtoto kama mwaka na miezi 9 na hadi cheti cha mwanzo ndio kilitumika kutengeneza kadi yake ya bima kwa mwajiri wangu.
Sasa hapa naomba kwa wanaojua wanijuze nimfanye nini kabla hajabadilisha au akibadilisha itakuaje hivi kwa kile cheti cha mwanzo.
NB: Hivi visa vipo mitaani kwetu naomba wadau toeni maoni watu wajifunze.