Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Hivi wakuu Jamba leo ni la nani? Karamagi au?Ni"jamba leo" tu ndiyo wametoka nayo. Wengine wameipuuza ikulu.
Hivi wakuu Jamba leo ni la nani? Karamagi au?Ni"jamba leo" tu ndiyo wametoka nayo. Wengine wameipuuza ikulu.
Hata kama hawaja sign, ukweli unabakia palepale wameshakopa benki na posho ndo dhamana ya mikopo waliyochukua, labda tuseme kupinga posho kwa siku za usoni.Kwani TBC ilikuwa live Mh. Lukuvi akalijuza taifa waheshmiwa wamekopeshwa izo pesa za vikao.
Huu ni mkakati mchafu unaoandaliwa na serikali ya ccm,chochote ccm ifanyacho inajidanganya watanzania wanaelewa kila kitu, ccm wangeangalia jinsi ya kutatua matatizo ya watanzania nasio CHADEMALeo majira ya mchana tukiwa News room kuna taarifa ambayo imeandikwa na imesambazwa kwa wahariri ikiwa na lengo la kuwachafua wabunge wa CHADEMA kesho kuhusiana na posho.Taarifa hiyo imetolewa baada ya Ikulu kulitaka Bunge liwapelekee mahudhurio ya wabunge wote waliosaini kwenye orodha ya mahudhurio na imetumika hiyo kwa kuangalia ni wabunge gani wa CHADEMA waliweza kushiriki kwenye vikao na hivyo kusema kuwa ni orodha ya kupokea posho.Habari hiyo itakuwa ndiyo front page kwenye magazeti mbalimbali kesho na lengo ni kuhakikisha kuwa walau wanapumua ili suala la posho wananchi waone kuwa limekigawa CHADEMA kati ya wabunge wake.Naomba kuishia hapo kwa sasa kwani ndio tunakimbizana na deadline, ntarejea baadae kuwajuza na nikiweza nitaiscan taarifa hiyo na kuiweka hapa jamvini.
Leo cjaisikia kwny magazeti mhm..so ilikuwa ni propaganda
Leo majira ya mchana tukiwa News room kuna taarifa ambayo imeandikwa na imesambazwa kwa wahariri ikiwa na lengo la kuwachafua wabunge wa CHADEMA kesho kuhusiana na posho.
Taarifa hiyo imetolewa baada ya Ikulu kulitaka Bunge liwapelekee mahudhurio ya wabunge wote waliosaini kwenye orodha ya mahudhurio na imetumika hiyo kwa kuangalia ni wabunge gani wa CHADEMA waliweza kushiriki kwenye vikao na hivyo kusema kuwa ni orodha ya kupokea posho.
Habari hiyo itakuwa ndiyo front page kwenye magazeti mbalimbali kesho na lengo ni kuhakikisha kuwa walau wanapumua ili suala la posho wananchi waone kuwa limekigawa CHADEMA kati ya wabunge wake.
Naomba kuishia hapo kwa sasa kwani ndio tunakimbizana na deadline, ntarejea baadae kuwajuza na nikiweza nitaiscan taarifa hiyo na kuiweka hapa jamvini.
I dont want to believe this gossip!state house cant do such a thing!
Matusi meengi halafu eeeeti na wewe ni kiongozi wa chama cha magamba!......................
Taratibu mkuu, hii habari ndiyo inayouza gazeti la "Jambo leo" chapisho la leo, litafute utaiona unaposema JF ni jukwaa la wambea kumbe ni wewe ambaye hukuiona hii habari unajishushia credibility yakoCraap , umbea peleka kwa shigongo. Mbona kwenye magazeti yote ya leo hakuna ? JF YAGEUKA JUKWAA LA WAMBEYA !