mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,413
- 8,398
mikono ya mwigulu imejaa damu ya mtanzania mwenzake hii ccm tuikatae kwa nguvu zote!Kudadeki wameniharibia kabisa mood ya kufanya kazi. Hiki chama cha Magamba kimepoteza uhalali wa kuongoza hii nchi.
Tusubiri kwanza CDM watasema nini kuhusu mauaji haya, kimsingi damu ya Mtanzania mwenzetu isipotee bure...