Kipindi cha kampeni Igunga ilitokea tafrani DC akavuliwa ushungi tu CCM+ BAKWATA wakatoa matamko mengi ikiwa pamoja na kusomwa kwa dua mbaya kama Chadema wasingeomba radhi.
Sasa hili ni zito tena sana la mauaji ya ndugu yetu Masoud Mbwana aliejitolea kwenda kulinda haki ya wana Igunga, mauaji ya kutisha na ya kinyama yaliyofanywa na watu wenye nia mbaya kwa taifa letu. Sasa na hapa napo tunataka tamko na ile DUA kama ni kweli hapa ndipo mahala pake ili wahalif wajulikane na hukumu ifanyike hapahapa.
Kipindi cha kampeni Igunga ilitokea tafrani DC akavuliwa ushungi tu CCM+ BAKWATA wakatoa matamko mengi ikiwa pamoja na kusomwa kwa dua mbaya kama Chadema wasingeomba radhi.
Sasa hili ni zito tena sana la mauaji ya ndugu yetu Masoud Mbwana aliejitolea kwenda kulinda haki ya wana Igunga, mauaji ya kutisha na ya kinyama yaliyofanywa na watu wenye nia mbaya kwa taifa letu. Sasa na hapa napo tunataka tamko na ile DUA kama ni kweli hapa ndipo mahala pake ili wahalif wajulikane na hukumu ifanyike hapahapa.
Ile BAKWATA ya DC feki tu waislamu wafike mahali wasiwe wanatumiwa vibaya na CCM.Na hapa BAKWATA watoe tamko kwani aliyeuwawa kikatili ni muislam aliyekwenda kulinda haki huko Igunga.
I agree, sina uhakika ni kitu gani, lakini kuna ucheleweshwaji mkubwa wa mambo.....Nafikiri kuna kitu kimechelewa au tunakichelewesha