Mwaka elfu 2010 vijana wa chadema (Mnyika, Wenje, Mdee, Zitto n.k) waligombea nafasi ya kuwania ubunge kupitia Chadema na kufanikiwa kuwa wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hivyo, nashauri vijana chipukizi wanaomaliza Vyuo kuwaiga vijana tajwa hapo juu kwani wametuonyesha njia. Tuchangamke inawezekana kuwabwaga wazee wa ccm. John Heche, Dr. Kitila Mkumbo, Deus Kibamba msituangushe changamkeni.