Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,942
- 4,131
Ni kuchanganyikiwaaa au vipi
Watanzania siyo wajinga kiasi kwamba mtu mmoja mwenye masilahi yake na chama anachokipenda, halafu atuchonganishe na atufanye mazuzu kama alivyo yeye
Watanzania kwa sasa ni werevu kwenye siasa pia kwenye masuala ya Dini,
Watanzania wa miaka 20 iliyopita, si kama wa leo tena, tunajua mambo ya kupuuza na kuwapuuza wanaojiona wao wanaakili kumbe ni mazuzu
Naamini, huyu Shekhe Sijui Mwapopo, akiirejea clp yake kwa kuisikiliza tena na tena, atatutaka radhi Waislamu
Hawezi kutupangia vitu vya kufanya na tusivyotaka kufanya
Yeye kama ni mwana ccm, akae huko atulie, yaani mtu mmoja kashiba zake Daku, atuvuruge akili zetu Watanzania inawezekana wapi na wapi
Tunakampeni moja tu nchi nzima kwa sasa, Katiba mpya ama kususia uchaguzi nchi nzima
Nchi hii siyo ya Mwaipopo
Apuuzwe na watu wote huyu shekhe, kwani yeye kasemwa na nani kuwa mpenzi na mwanachama wa ccm?
Ugoro mwingine watu wasivute
Watanzania siyo wajinga kiasi kwamba mtu mmoja mwenye masilahi yake na chama anachokipenda, halafu atuchonganishe na atufanye mazuzu kama alivyo yeye
Watanzania kwa sasa ni werevu kwenye siasa pia kwenye masuala ya Dini,
Watanzania wa miaka 20 iliyopita, si kama wa leo tena, tunajua mambo ya kupuuza na kuwapuuza wanaojiona wao wanaakili kumbe ni mazuzu
Naamini, huyu Shekhe Sijui Mwapopo, akiirejea clp yake kwa kuisikiliza tena na tena, atatutaka radhi Waislamu
Hawezi kutupangia vitu vya kufanya na tusivyotaka kufanya
Yeye kama ni mwana ccm, akae huko atulie, yaani mtu mmoja kashiba zake Daku, atuvuruge akili zetu Watanzania inawezekana wapi na wapi
Tunakampeni moja tu nchi nzima kwa sasa, Katiba mpya ama kususia uchaguzi nchi nzima
Nchi hii siyo ya Mwaipopo
Apuuzwe na watu wote huyu shekhe, kwani yeye kasemwa na nani kuwa mpenzi na mwanachama wa ccm?
Ugoro mwingine watu wasivute