Huyu mzee ananifanya nionekane chizi

Mzee kaamua kujizolea kiki....Kwa hizo figure alizokuwa anaruka nazo angeweza hata kulala na hao wadada wa Yono baada ya mnada kuisha tu.
25% ndio imempindua chali otherwise baada ya masaa kadhaa angeweza kung'oa kina hawa wa kutosha na kuspend nao kwa mtaji wa laki 2/3.
 
Mzee kaamua kujizolea kiki....Kwa hizo figure alizokuwa anaruka nazo angeweza hata kulala na hao wadada wa Yono baada ya mnada kuisha tu.
25% ndio imempindua chali otherwise baada ya masaa kadhaa angeweza kung'oa kina hawa wa kutosha na kuspend nao kwa mtaji wa laki 2/3.
Ni kwel maana warembo kwa pesaa walianza kuleta shobo hapo
 
Lakini tuwe wakweli, mzee huyu amejifunzia wapi kutoa ahadi hewa au kufanya manunuzi hewa, tena kwa ujasiri mkubwa? Nani role model wake? Nadhani alikuwa na lengo la kufikisha ujumbe kuwa utoaji wa ahadi hewa huvunja sana moyo wale waliotarajia hiyo ahadi pindi isipotekelezeka. Sidhani kama huyu mzee alikuwa na nia nyingine zaidi ya hiyo.

Hii post nimeielewa sana, rulers have set the precedence.

Kwani anaweza kuhukumiwa kwa kosa gani?
 
mm waliponiua ni hao wanaompepea dah nahisi walishaanza kumuomba na namba ya sim...maana wadada walijiongeza sana mzee hadi anafutwa jash
Mkuu usicheze na PESA kabisa tena ukishatamka bilioni mbele ya hadhira aisee hata maji ya kunywa watakuambia usiyanywe mzee tunakunywesha mzee usipate shida
 
Huyu mzee namfaham, ni madr. wa mwanzo kabisa kugraduate urusi mwaka 1969 kutoka Tanzania. Mara nyingi mida ya jioni huwa anapatikanika pale library ya Indian cultural center, kisutu.

Hivyo c vyema kumpimia mtu kwa macho, huwezi jua amejipanga vipi
1969 ?
Mbona kitambo sana mkuu.
 
Mzee kaamua kujizolea kiki....Kwa hizo figure alizokuwa anaruka nazo angeweza hata kulala na hao wadada wa Yono baada ya mnada kuisha tu.
25% ndio imempindua chali otherwise baada ya masaa kadhaa angeweza kung'oa kina hawa wa kutosha na kuspend nao kwa mtaji wa laki 2/3.
Jana ilikua siku yake murua kabisa kulala na mrembo wa bongo movie, basi tena bank wamekatisha ndoto zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom