Next atatokea Ubungo Plaza.Sina la kusema kuhusu huyu Dkt.wa Lugumi,
Kiboko ya madalali lakini asijichanganye kwenda kwenye mnada wa majengo yaliyopo karibu na soko la samaki Felly pindi mzee atakapotaka kupiga mnada baada ya kuwa amehamia Dom.
Bado unachekaaaView attachment 627513 huyu mzee ananifanya watu wanione labda naugua kichaa ndo sababu nacheka muda wote..
Dalili ya chappaa mingi hiyoMzee ngozi imepauka hatari
Hata yule mama wa Yono mwenye mbwembwe nyingi alishablow kwa hili dingi. Mzee yupo serious. Ana plan kujenga viwanda 30. Muda si mrefu angealikwa Ikulu huyu...maana wadada walijiongeza sana mzee hadi anafutwa jasho..
Eti hizo nyumba watakaa wafanyakazi, mzee ana mbwembwe kinoma
Hata yule mama wa Yono mwenye mbwembwe nyingi alishablow kwa hili dingi. Mzee yupo serious. Ana plan kujenga viwanda 30. Muda si mrefu angealikwa Ikulu huyu..
Mwambie mshua kazingua bana.Kuja kutupia video na picha za baba angu huku ndo nini???!
Kwa kweli hata mimi nimecheka sana
Kwa mwenye Bunddle ya kutosha anaweza kumwangalia hapa alivyo serious kwenye manunuzi, atakuwa sio mzima huyu jamaa