figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
@figganigga
mmmmh, hadi biolojia ya jicho???
ile ilikuwa bahati mbaya. nyie wanawake mtatumaliza. Mia
@figganigga
mmmmh, hadi biolojia ya jicho???
kinondoni makaburini kuna wadada weupe paleeeee aiseee we acha tu.
TF au Husyn.
Wakikuambia kwenda uwanja wa fisi uvae helmet na dust mask
Sijui kuhusu TF ila huyo mwingine kwa sasa hivi sijui kama ataweza kutembeza mtu maana ana machungu fulani.
Yepi hayo yalomsibu hadi ashindwe kumtembeza mwenzie?
Mbona mmeisahau Rozana na ile baa opposite na makutano ya uhuru na mandela?
Mi si mwenyeji Daslamu, nani atanitembeza?
mwananyamala kwa wahaya!!!!
Tenda za rada, umeme, ndege ya serikali, helkopta etc mbona hatuambiani? Acheni ubaya bwana.
Magomeni kwenye pilau
Ha ha ha, hapa supu linapikwa, pembeni wanatapisha
Siyo Mburahati kwa Bitikaenga,bali Kigogo Luhanga kwa Bitikahenga
Mbona mmeisahau Rozana na ile baa opposite na makutano ya uhuru na mandela?