kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
1-Kariakoo jirani na mzunguko wa magari (round about):wanapatikana wauzaji wa dvd za ngono za kila aina,muuzaji mmoja alinidokeza kuwa kijiwe hicho kinafahamika pia kwa viongozi wa serikali.Wao pia ni wateja wao wakubwa wa dvd hizo.kuna wakati wanaenda wenyewe au hutuma wap ambe wao wakawachukilie mzigo.
2-Posta mpya jirani na mgahawa wa azam take away:Hiki ni kijiwe cha matapeli waliobobea katika utengenezaji wa vyeti bandia vya kitaaluma,kuiga sahihi za viongozi,uuzaji wa fedha bandia za kigeni,uchongaji wa mihuri,usajili wa kampuni hewa za kibiashara nk.Kwa wale mnaopeda kupita njia za mkato kufikia mafanikio sio vibaya mkianzia hapa.
3-Kariakoo gerezani-hili ni eneo ambalo vijana wako busy n asana na kazi ufundi.Kila kijana yuko imara kwa kazi za mikiki mikiki na shuruba.
Ila lina sifa ya ziada.kama umeibiwa kifaa chochote kilichoundwa kwa shaba,chuma,bati nk.Sehemu ya kwanza kuanza uchunguzi wako ni eneo hili.Hapa ndipo wanapo patikana mabingwa wa kuuza vyuma chakavu,kutengenisha spare za magari ya wizi na hata kuyabadilisha rangi.Ukiibiwa gari na ukafika hapa,kuna mawili kukuta gari lako likiwa na muonekano tofauti au kulikosa na zana zake kuuzwa katika maduka ya used auto spares yaliyotapakaa kila kona jijini.
4-Kariakoo mtaa wa aggrey:mnao tumia bidhaa halisi za blackberry,nokia,iphone ,sumsumg nk.hili ni eneo muhimu kulifahamu.
Ni kipande kidogo cha mtaa wa aggrey kama unelekea kiwanda cha bia cha tbl.Hapa wanapitaikana vijana watanashati madalali wa bidhaa za simu za mkononi.Kama simu yako ya gharama imeibiwa nashauri uchunguzi wako uanzie mtaa
wa aggrey.Na kama ukakuta kijana anauza simu yako usipandishe hasira na kutoa vitisho.Elewana nae ili akuuzie upya anagalau kwa bei nafuu.Kinyume na hivyo uhakika wa kuipata ni mdogo.Hii ndio dsm akili kichwani mwako.
Wakuu kama kuna sehemu sijaitaja sio vibaya mkaitaja pia.
2-Posta mpya jirani na mgahawa wa azam take away:Hiki ni kijiwe cha matapeli waliobobea katika utengenezaji wa vyeti bandia vya kitaaluma,kuiga sahihi za viongozi,uuzaji wa fedha bandia za kigeni,uchongaji wa mihuri,usajili wa kampuni hewa za kibiashara nk.Kwa wale mnaopeda kupita njia za mkato kufikia mafanikio sio vibaya mkianzia hapa.
3-Kariakoo gerezani-hili ni eneo ambalo vijana wako busy n asana na kazi ufundi.Kila kijana yuko imara kwa kazi za mikiki mikiki na shuruba.
Ila lina sifa ya ziada.kama umeibiwa kifaa chochote kilichoundwa kwa shaba,chuma,bati nk.Sehemu ya kwanza kuanza uchunguzi wako ni eneo hili.Hapa ndipo wanapo patikana mabingwa wa kuuza vyuma chakavu,kutengenisha spare za magari ya wizi na hata kuyabadilisha rangi.Ukiibiwa gari na ukafika hapa,kuna mawili kukuta gari lako likiwa na muonekano tofauti au kulikosa na zana zake kuuzwa katika maduka ya used auto spares yaliyotapakaa kila kona jijini.
4-Kariakoo mtaa wa aggrey:mnao tumia bidhaa halisi za blackberry,nokia,iphone ,sumsumg nk.hili ni eneo muhimu kulifahamu.
Ni kipande kidogo cha mtaa wa aggrey kama unelekea kiwanda cha bia cha tbl.Hapa wanapitaikana vijana watanashati madalali wa bidhaa za simu za mkononi.Kama simu yako ya gharama imeibiwa nashauri uchunguzi wako uanzie mtaa
wa aggrey.Na kama ukakuta kijana anauza simu yako usipandishe hasira na kutoa vitisho.Elewana nae ili akuuzie upya anagalau kwa bei nafuu.Kinyume na hivyo uhakika wa kuipata ni mdogo.Hii ndio dsm akili kichwani mwako.
Wakuu kama kuna sehemu sijaitaja sio vibaya mkaitaja pia.