vidudi
Member
- Jun 28, 2016
- 75
- 37
Wana JF
nimekutana na in box message kwenye e-mail yangu kuwa ni upload my certificate qualification,na pale kwenye lile jina la huyo sender katumia NACTE lakini google account yenyewe inadai kutomtambua huyo mtumaji km kweli ni Nacte, na tatizo la profile wote twalijua
kingine kilichonishangaza ni namba ambazo huyo mtu katuma ili niweze fanya mawasiliano nae kuwa haziendani kabisa na zile za nacte. jamani msaada kwa hili ni kweli au utapeli???
nimekutana na in box message kwenye e-mail yangu kuwa ni upload my certificate qualification,na pale kwenye lile jina la huyo sender katumia NACTE lakini google account yenyewe inadai kutomtambua huyo mtumaji km kweli ni Nacte, na tatizo la profile wote twalijua
kingine kilichonishangaza ni namba ambazo huyo mtu katuma ili niweze fanya mawasiliano nae kuwa haziendani kabisa na zile za nacte. jamani msaada kwa hili ni kweli au utapeli???