Tatizo hapa siyo Lema kupoteza UBUNGE, kwani UBUNGE utaipata tena. I believe CCM watakuwa hawajafuruhishwa na hii hukumu. Tatizo kubwa hapa hii HUKUMU iliyopikwa itaingia kwenye KUMBUKUMBU za Mahakama na itakuwa REFERRED whenever necessary. Hili ndiyo tatizo kubwa, kuna Watu watukuwa VICTIM wa JUDGMENT hii.