ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Kwani anayeathirika na ubunge wa Arusha ni Batilda peke yake? Waathirika wa kwanza ni wananchi, so kama wananchi wameweza kuprove kuathirika kwao basi hiyo tort unayozungumzia imeheshimiwa.
Asante sana kwa kunielimisha.
hebu tupeni cv ya huyo jaji kwanza
Jaji aliyejitoa katika kesi hii anaitwa Aloycius Mujulizi, ni mmiliki mwenza wa IMMMA advocates.
By Avanti
My learned friend, what kind of tort are you talking about? Go and dig deeper, there are precedents which may make an adjudicator dispense with such a general rule. Furthermore, the complainants were the ones needed to prove, the insulted person was just to be a witness needed not to prove damage on herself rather than proving the words were uttered. There was no need of calling her if the evidence adduced sufficed to convict the way the complainant contemplated. For example if I utter abusive words to your father at your presence, will you fail to prove damage or injury upon yourself? As you will be the complainant, your father's role will be to prove that there were such abusive words. Scout around my fellow learned friend.
Sir/ Madam:
I beg to lay my way of telling about "Tort".., well said by you that " Batilda was to be a witness provided she was to be called before the court", But, mfano uliotoa kuhusu Baba na Mtoto is very relevant...na je does the same rule apply to people who are not closely related by either (lets say) blood, marriage, working relationship or any other case (so far)?
Umesahau kuorodhesha elements za defamation na kuprove hizo elements zote. To be honest, the case is not real tangu lini ukafungua kesi ya matusi kwa niaba ya mtu mwingine, kilichotakiwa ni kwa Dr. Batilda afungue kesi halafu hao watu waje kama mashahidi, yeye (Batilda) ndiye anafit na kufili maamivu ya matusi na sio vinginevyo, thinking the other way in this case is being corrupt.
Halafu wewe mjinga na kingereza chako cha makengeza! Mimi siyo mwanasheria ila huu ni upuuzi kwani huwezi ukamhukumu mtu bila hata audio au video inayoonsesha alitukana. Na ninakuahidi ujinga wako utakoma siku Lema akichukua jimbo tena. Na huyo jaji wako na waliomshitaki na kumbambikiza Lema inabidi watafute pahali pakuishi nadhani arusha hapawatosha.My learned friend, what kind of tort are you talking about? Go and dig deeper, there are precedents which may make an adjudicator dispense with such a general rule. Furthermore, the complainants were the ones needed to prove, the insulted person was just to be a witness needed not to prove damage on herself rather than proving the words were uttered. There was no need of calling her if the evidence adduced sufficed to convict the way the complainant contemplated. For example if I utter abusive words to your father at your presence, will you fail to prove damage or injury upon yourself? As you will be the complainant, your father's role will be to prove that there were such abusive words. Scout around my fellow learned friend.
Halafu wewe mjinga na kingereza chako cha makengeza! Mimi siyo mwanasheria ila huu ni upuuzi kwani huwezi ukamhukumu mtu bila hata audio au video inayoonsesha alitukana. Na ninakuahidi ujinga wako utakoma siku Lema akichukua jimbo tena. Na huyo jaji wako na waliomshitaki na kumbambikiza Lema inabidi watafute pahali pakuishi nadhani arusha hapawatosha.
By Avanti
My learned friend, what kind of tort are you talking about? Go and dig deeper, there are precedents which may make an adjudicator dispense with such a general rule. Furthermore, the complainants were the ones needed to prove, the insulted person was just to be a witness needed not to prove damage on herself rather than proving the words were uttered. There was no need of calling her if the evidence adduced sufficed to convict the way the complainant contemplated. For example if I utter abusive words to your father at your presence, will you fail to prove damage or injury upon yourself? As you will be the complainant, your father's role will be to prove that there were such abusive words. Scout around my fellow learned friend.
Ok, sijajua waliathirika kwa kitu gani kwa sababu sijaiona hukumu ila nilikuwa napinga usemi wa kwamba kwa kuwa Badilda hakutoa ushahidi wake kuonesha madhara aliyopata basi Jaji asingeweza kutoa hukumu ya vile. Naona unakubaliana nami iwapo hawa walalamikaji waliweza kuthibitisha madhara ya matusi ya Lema kwao wenyewe na kwa jamii husika basi isingehitajika ulazima wa Badilda kwenda kutoa ushahidi.
wenzetu wakenya huwa wana ka utaratibu kazuri sana wa kuwapata viongozi wa kuongoza taasisi nyeti zote.huku kwetu hawa mabwana ni ma president appointees,hv rais akisema make sure that kesi funali ushindi unapatikana atagoma jaji?
Asane.......hii itaingia kwenye historia ya hukumu za kimbumbumbu Tanzania
Mmmh, now I got it. Kumbe tayari kuna judge aliyeiona hii kesi kwamba ina mizengwe akaamua kunjitoa? Huu nao ni ushahidi tosha kwamba hii hukumu ni ya kihuni.
Jaji aliyejitoa katika kesi hii anaitwa Aloycius Mujulizi, ni mmiliki mwenza wa IMMMA advocates.
ilifunguliwa na third party, this is ridiculous judgement kwa karne hii.