Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, hiki ndio kipindi cha kutumia taaluma yako kuhakikisha Lema anarudi bungeni kulalamika humu JF hakutasaidia lolote.Tangu jana nilielezea kwamba nimepata taarifa kuvuja kwa hukumu ya mh Lema. Mods aliunganisha link yangu na nyingine zilizokuwa zinashabihana na hilo. Kitaaluma mimi ni mwanasheria na hakika kila mwenye taaluma hii na aliyekuwa akifuatilia kesi atabaki mdomo wazi juu ya hukumu iliyotolewa. Huyu jaji alichofanya ni kucheza na akili za watu, na nina uhakika alikua na hukumu mbili mkononi.
Hata mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza anajua kwamba katika 'tort' ili kosa lionekane limetendwa ni lazima aliyetuhumiwa athibitishe ameathirikaje na hizo tuhuma. Inakuwaje 3rd party ndo athibitishe hilo?
Batlida hajawahi kuja mahakamani. Kesi hii inaandika historia katika mhimili wa mahakama juu ya uhuru wake. Kuna haja ya majaji katika mahakama kuu kufanyiwa enterview kama kule kenya wanavyofanya. Hii hukumu imenikumbusha mengi katika tasnia ya sheria, daima itabaki kuwa kumbukumbu mbovu kwenye mhimili wa mahakama.
Tangu jana nilielezea kwamba nimepata taarifa kuvuja kwa hukumu ya mh Lema. Mods aliunganisha link yangu na nyingine zilizokuwa zinashabihana na hilo. Kitaaluma mimi ni mwanasheria na hakika kila mwenye taaluma hii na aliyekuwa akifuatilia kesi atabaki mdomo wazi juu ya hukumu iliyotolewa. Huyu jaji alichofanya ni kucheza na akili za watu, na nina uhakika alikua na hukumu mbili mkononi.
Hata mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza anajua kwamba katika 'tort' ili kosa lionekane limetendwa ni lazima aliyetuhumiwa athibitishe ameathirikaje na hizo tuhuma. Inakuwaje 3rd party ndo athibitishe hilo?
Batlida hajawahi kuja mahakamani. Kesi hii inaandika historia katika mhimili wa mahakama juu ya uhuru wake. Kuna haja ya majaji katika mahakama kuu kufanyiwa enterview kama kule kenya wanavyofanya. Hii hukumu imenikumbusha mengi katika tasnia ya sheria, daima itabaki kuwa kumbukumbu mbovu kwenye mhimili wa mahakama.
Tangu jana nilielezea kwamba nimepata taarifa kuvuja kwa hukumu ya mh Lema. Mods aliunganisha link yangu na nyingine zilizokuwa zinashabihana na hilo. Kitaaluma mimi ni mwanasheria na hakika kila mwenye taaluma hii na aliyekuwa akifuatilia kesi atabaki mdomo wazi juu ya hukumu iliyotolewa. Huyu jaji alichofanya ni kucheza na akili za watu, na nina uhakika alikua na hukumu mbili mkononi.
Hata mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza anajua kwamba katika 'tort' ili kosa lionekane limetendwa ni lazima aliyetuhumiwa athibitishe ameathirikaje na hizo tuhuma. Inakuwaje 3rd party ndo athibitishe hilo?
Batlida hajawahi kuja mahakamani. Kesi hii inaandika historia katika mhimili wa mahakama juu ya uhuru wake. Kuna haja ya majaji katika mahakama kuu kufanyiwa enterview kama kule kenya wanavyofanya. Hii hukumu imenikumbusha mengi katika tasnia ya sheria, daima itabaki kuwa kumbukumbu mbovu kwenye mhimili wa mahakama.
Tangu jana nilielezea kwamba nimepata taarifa kuvuja kwa hukumu ya mh Lema. Mods aliunganisha link yangu na nyingine zilizokuwa zinashabihana na hilo. Kitaaluma mimi ni mwanasheria na hakika kila mwenye taaluma hii na aliyekuwa akifuatilia kesi atabaki mdomo wazi juu ya hukumu iliyotolewa. Huyu jaji alichofanya ni kucheza na akili za watu, na nina uhakika alikua na hukumu mbili mkononi.
Hata mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza anajua kwamba katika 'tort' ili kosa lionekane limetendwa ni lazima aliyetuhumiwa athibitishe ameathirikaje na hizo tuhuma. Inakuwaje 3rd party ndo athibitishe hilo?
Batlida hajawahi kuja mahakamani. Kesi hii inaandika historia katika mhimili wa mahakama juu ya uhuru wake. Kuna haja ya majaji katika mahakama kuu kufanyiwa enterview kama kule kenya wanavyofanya. Hii hukumu imenikumbusha mengi katika tasnia ya sheria, daima itabaki kuwa kumbukumbu mbovu kwenye mhimili wa mahakama.
sasa wewe (in red) unatuandikia vingereza vyako kumaanisha nini!?My learned friend, what kind of tort are you talking about? Go and dig deeper, there are precedents which may make an adjudicator dispense with such a general rule. Furthermore, the complainants were the ones needed to prove, the insulted person was just to be a witness needed not to prove damage on herself rather than proving the words were uttered. There was no need of calling her if the evidence adduced sufficed to convict the way the complainant contemplated. For example if I utter abusive words to your father at your presence, will you fail to prove damage or injury upon yourself? As you will be the complainant, your father's role will be to prove that there were such abusive words. Scout around my fellow learned friend.
You know what, hakuna chombo cha kulinda na kutetea haki za raia hata kimoja ambacho kipo huru hapa nchini. Si polisi, si mahakama wote lao moja. Kulinda maslahi ya CCM. Ndiyo maana akina Mramba, Yona, Mgonja na wengineo walishitakiwa miaka mitano iliyopita lakini hadi leo kesi hazisomwi. Kuna ujinga ambao CCM inafanya ambao kama wasipokaa sawa utawagharimu wao na watoto wao. Siku uvumilivu wa watanzania utakapokoma, watakuwa wanakamatwa viongozi wa CCM pamoja na watoto wao na kuuawa mbele ya hadhara. Sidhani kama Libya walijua kwamba ipo siku Ghadafi na familia yake wangeuawa kama panya vile. Waache tu waendeleze huu uhuni wakidhani kwamba watanzania wataendelea kuwa wavumilivu milele.Tangu jana nilielezea kwamba nimepata taarifa kuvuja kwa hukumu ya mh Lema. Mods aliunganisha link yangu na nyingine zilizokuwa zinashabihana na hilo. Kitaaluma mimi ni mwanasheria na hakika kila mwenye taaluma hii na aliyekuwa akifuatilia kesi atabaki mdomo wazi juu ya hukumu iliyotolewa. Huyu jaji alichofanya ni kucheza na akili za watu, na nina uhakika alikua na hukumu mbili mkononi.
Hata mwanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza anajua kwamba katika 'tort' ili kosa lionekane limetendwa ni lazima aliyetuhumiwa athibitishe ameathirikaje na hizo tuhuma. Inakuwaje 3rd party ndo athibitishe hilo?
Batlida hajawahi kuja mahakamani. Kesi hii inaandika historia katika mhimili wa mahakama juu ya uhuru wake. Kuna haja ya majaji katika mahakama kuu kufanyiwa enterview kama kule kenya wanavyofanya. Hii hukumu imenikumbusha mengi katika tasnia ya sheria, daima itabaki kuwa kumbukumbu mbovu kwenye mhimili wa mahakama.
Mkuu, hiki ndio kipindi cha kutumia taaluma yako kuhakikisha Lema anarudi bungeni kulalamika humu JF hakutasaidia lolote.
Itachukua muda mrefu sana mahakama zetu kuwa huru, hadi hapo katiba itakapo badilika. Mlalamikaji, hakutokea mahakamani, lakini kashinda kesi; hii mpya!!!!
Ritz hakika wewe ni muungwana comment zako leo unaonesha umeguswa na hili jambo. Hongera mkuuMkuu, hiki ndio kipindi cha kutumia taaluma yako kuhakikisha Lema anarudi bungeni kulalamika humu JF hakutasaidia lolote.
Mimi mwenyewe nimeshangazwa sana na hukumu hiyo kwani kwa elimu ya sheria ya miaka mitatu niliyonayo mpaka sasa hata siku moja huwezi kutukia ushaidi wa 3rd party kumhukumu mtu kwa makosa ya tort, ni kama vile mhindi akutemee mate ya pariki halafu rafiki yako akashitaki na kudhibitisha mahakamani kwamba mate yalikuunguza, but hii ilionekana from the beginning kwani ndiyo sababu kubwa iliyomfanya jaji aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo awali ajitoe mnamo tarehe 6 february mwaka huu kwa kusema siwezi kusikiliza na kutoa maamuzi ya kesi kama hii.
Kuna jaji aliyejitoa ktk kusikiliza kesi hii, Anaitwa nani? Kwanini alijitoa?
mimi si mwanasiasa na wala silipwi chochote kutetea chama humu jamvini. Nimejaribu kuweka mambo sawa. Hakika nikipata nakala ya hukumu nitawapelekea wanafunzi wangu waone vituko katika mahakama.
Hata mimi niliyesomea basics za business law inanishangaza. Hivi Zombe aliachiwa kwa sababu zipi kweli? Sio kwamba mtuhumiwa hakuwepo!!