Mabasi mengi ni tha same hakuna wenye utofauti w akutisha
Arusha Nairobi ni 15000 tu, kwa magari mengine, sijui iyo Taamedi yenu30000
Umeandika english nikijua kuna pointYour marketing strategy is disgusting,it wont work like that by blackmailing other companies.by the way wachaga hawana hizo dhiki sijui AC,Washroom,.they underwent civilazation long time ago.wachaga hu support company za wachaga wenzao.
Kila kitu unataka kujifanya mjuajiHawa jamaa ila Konda na Suka wao wana rugha ambazo sio kabisa, sijajua kama ni mabasi yote, ila kuna basi moja la Dar to Arusha kwa kweli konda sio kabisa plus Dereva wao
Aisee nafikiri uwape mrejesho vizuri nisionekane nawadanganyaHatimaye nimetimiza mpango. Ndani ya Tahmeed sasa, tumefika Korogwe. Safari ni ya kutoka Dar kwenda Nairobi!
Very comfortable sana hawa Jamaa!!
Sidhani kama ana mpinzani, kama yupo aseme..
Kila kitu unataka kujifanya mjuaji
Halafu huna hata unachojua
Kuna kitu kinaitwa ESTHER EXPRESS dar, arusha, moshi ni shida aisee kitu ina wi-fi, kila city ina tv na head phone unaweza kukunjua seat na ukalala kama vile upo hotel nyota 5 full ac, charge! Tahmeed anakalishwa vibaya sana
Bagamoyo sehemu gani? naona kama nakufananisha.kumbe hana hata asili ya uarabu?? Duga Maforoni iko Mombasa, Kenya au Tanga, Tanzania??? haya boss wake Salim Kirozo, sasa wewe uko falcon mbona wapigia debe Tahmeed???? hebu tupe historia yake kwa ufupi basi, nilikuwa namjua zamani alikuwa anafnaya kazi Tawfiq kama sijakosea nae alikuwa mfanyakazi wa kawaida, mie mtu wa Bagamoyo ila mwenyeji wa Mombasa.
Kisayansi siyo salama,utakufa kabla ya muda wako
Pole sana mkuu,usirudie tena makosa.watu wengi hawakunielewa niliposema ukweli walidhani naongea uongo,.niko njiani naelekea nairobi i hope tutapishana somewhere.next time nipm nikupe best seat of your choice.Mkuu falcon mombasa nisamehe kwa kutopanda Tahmeed leo frm Ars - Dsm. Nilisema nibadilishe ladha kwa kupanda hii dar express mpya ila nimeishia kujuta. Majuto haya ni karibu abiria wote. Zile siti ulisema ni kwa ajili ya watoto wa chekechea ndo nimekaa. Pia basi halijaondoka kwa muda... abiria karibu wote hawana furaha. NINAJUTA KUIPANDA HII DAR EXPRESS..
Mmiliki wa tahmeed ni mzaliwa wa tanga.sina hakika kama tanga ni ASIAsiyo kwamba mimi ni mbaguzi,lakini ukweli ni kwamba mabasi yanayomilikiwa na watu wenye asili ya ASIA huwa yanaambatana na majini,kuna muda wake hasa mwisho wa mwaka huwa zinaua sana,angalia NAJIMUNISA,MORO BEST,MOHAMED TRANS,ABOOD,HOOD,ADVANCHER,NBS,SABENA,AIR BUS,AM, ni majanga mtupu abilia muwe macho.
Ni ya rombo,na wala sio luxury ni daraja la kawaidaJambazi hiyo ESTHER ni ya ukweli au sijawahi kuisikia embu nipe data zake