chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,697
- 22,733
Jana tumesafiri salama salmini mkuu...
OFISI ZAO ZINAPATIKANA WAPI?Ni ya mtanzania ila imebase kenya
Mkuu haya magari ni yakishua sana aisee! full tinted ac kama upo fly emirate!ebu nipeni huo uhondo wa Tahmeed jamani....maana ndio kwanza nausikia mwe
Ukiwa Dar ofisi zao zipo pale Shekilango.OFISI ZAO ZINAPATIKANA WAPI?
Hatimaye nimetimiza mpango. Ndani ya Tahmeed sasa, tumefika Korogwe. Safari ni ya kutoka Dar kwenda Nairobi!
Very comfortable sana hawa Jamaa!!
Sidhani kama ana mpinzani, kama yupo aseme..
Hawa jamaa ila Konda na Suka wao wana rugha ambazo sio kabisa, sijajua kama ni mabasi yote, ila kuna basi moja la Dar to Arusha kwa kweli konda sio kabisa plus Dereva waoUmewajibu vizuri,mbona hawana subra katika kipindi cha.miaka 15 ndio tahmeed ya kwanza kuungua,kilimanjoro na dar express zimeungua mnoo ndani ya miaka mitatu hii
Pia kwenye tahmeed hakuna mzigo uliopotea wala alieumia lakin watu wameona ajali hiyo ndio sehemu ya kuhukumu na mkasahau hizo zinazoungua kila siku ndio zilipaswa zihukumiwe
AC za nini huo ni ushamba tu,oxygen ni ya mhimu sana kwa binadamu kuliko huo upuuzi wenu wa Ac
Sisi wa Moshi na Arusha hakuna mwingine bali KILIMANJARO EXPRESS.
Kwanza kabisa naomba nitoe pongezi kwa kampuni ya mabus ya kilimanjaro kwa kuona thread yangu wiki mbili zilizopita na kuamua kuifanyia kazi
Jumamosi hii ya juzi kilimanjaro express wameanza kufunga ac kwenye bus zao nne ambazo zitaanza kutumia ac siku ya jumatano kesho kutwa,i hope dar express nao watabadilika
Ila sasa nataka niwakosoe kilimajaro express,hivi ni ubahili kiasi gani mlio nao mkaamua kuongeza siti kwenye bus zenu zinazofungwa ac?yaani kwa kifupi haina tofauti na school bus tena za chekechea,mmebana siti ziwe ndogooo hakuna nafasi ya kuweka miguu,yaani ubahili huu umepitiliza,hii yote ni katika kushindana na tahmeed.
Sasa kilimanjaro mmebana siti ili waingie watu wengi,tv moja tu,hakuna wifi,siti sio za ngozi,charging system hakuna,fridge na disposer hakuna,halafu leo hii mnataka kushindana na TAHMEED
Ikumbukwe katika njia ya dar moshi arusha nairobi SUMATRA wamethibitisha ni TAHMEED pekee ndio bus la kifahari kwa kubandika sticker ya blue mlangoni kuthibitisha kuwa ni bus la daraja la juu sana
Mbaya zaidi TAHMEED imeleta mabus mapya zaidi ya 25 yapo yard kufikiria ziende route ipi ,hii imewaletea wamiliki wa mabus wa kaskazini waliozoea kufanya biashara kwa mazoea kitu kinachoitwa TAHMEED fever
Kigoma mbeya mwanza songea kahama singida jiandaeni
Mrejesho:
kilimanjaro express wamefanikiwa kufunga choo ambacho hakitumiki na ac wameghaili kuwawekea wateja wao ila wamekumbuka kuongeza siti kwenye bus zao
so sad
Tangu nije DAR miaka kumi na saba iliyopita sijawahi kupanda gari nyingine zaidi ya DAR express na KIlimanjaro
...Fresh ya shambaMkuu unanikumbusha mbali sana, kipindi kile kuna ttbs, TBS, kamata, imam, lan'gata, Rombo safaris, Rombo mwelekeo, Rombo investment, masama cliff, njuweni, ngorika, hatco na mengine mengi.
Nimecheka sana
BORN City ni habari nyingine kwa wajanja wa town wanaijua sana Enzi zile, warudi tujikumbusheYote tisa.....kumi ni kwamba kampuni ya BORN CITY iko njiani kuweka mabasi njia ya DAR/ARK.Wanaahidi huduma zilezile na hawatakuwa tayari kumuacha yoyote aliyekosa nauli kumrudisha home...kama zamani
DAR EXPRESS WAKO NJEMA WANA MABASI MAPYA ILA hamna toilet, wifi wala USB chargers, ni full access air-conditioned Dar to ARSisi wa Moshi na Arusha hakuna mwingine bali KILIMANJARO EXPRESS.
Umenikuna mjomba night chombo chatembea uzuri sana ati, madereva waraabu Uta wapenda, Moshi saa kumi jioni Dar esalaam saa 9.30/12.00am mko Kisutu.Aisee umenikumbusha mbali sana enzi za born city Dar - Arusha,enzi hizo tunatoka Arusha saa 12 jioni tunafika dar saa 10 Usiku ,chakula tunakula mombo yaani mombo ukipita usiku ni kama mchana vile kumechangamka balaa,aisee daraja la wami tunapita saa 7 au 8 usiku mnaanza kuamshana daa long time na mpinzani wa born city alikuwa anaitwa SMAA ,enzi hizo za nissan diesel ,enzi za isuzu,leyland,leyland daf
HaaTahmeed hana ubavu wa kuleta luxury class kwenye route ndefu kama za mwanza,kigoma,kahama,mbeya,songea etc zitachoka kesho tu..hivi kuna watu bado wanapanda k'manjaro au dar exprec? Bora ukapanda BM coach au New force
Mm napanda new force songea dar masaa 15 ndani ya basi ruti ndefu hiiiTahmeed hana ubavu wa kuleta luxury class kwenye route ndefu kama za mwanza,kigoma,kahama,mbeya,songea etc zitachoka kesho tu..hivi kuna watu bado wanapanda k'manjaro au dar exprec? Bora ukapanda BM coach au New force