Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Jk hana option nyingine zaidi ya kuruhusu nguvu ya umma ifanye kazi. Apende asipende, katiba mpya ni haki ya watanzania. Hana namna yoyote ya kuzuia mabadiliko labda kama ana hamu na The Hague.
.
.