Hongera HALIMA MDEE umeonyesha ukomavu

Status
Not open for further replies.
Kwa wanaojua msimamo wa Mdee, tunaelewa kwa nini yuko kimya!. Pia ameisha jua madhambi ya Chadema kufanya fault finding cherry picking za kuwahukumu watu kwa makosa yao tuu regardless wameifanyia nini Chadema. Anajijua aliingiaje Chadema, what was her inspiration hadi kujoin Chadema. Wewe umemuona Halima tuu?!. Hujiulizi mbona Prof. Safari yuko kimya?.
Pasco

Pasco, hivi katika jamii au tu katika familia mmoja akikosea anasemwa na wooote! Sidhani kama ni lazima sana, wengine wanaweza nyamaza na bado wakawa na masikitiko na hisia sawa sawa na wale wanaoongea. Sio kila mtu angependa kumshambulia mtu kwa umoja, wengine wakisema yatosha, tunaamini aliyekosea anaelewa kuwa hili halijawa jema machoni pa wenzangu. Ushabiki mbali na ukweli mbali, hata nyie mnaoshabikia mna yenu moyoni na wakati huo huo ukweli halisi mnaujua.
 
Kukaa kimya pia ni jibu toshaa.Tena bora hata uongee ujulikane black or white.
 
Mnyika hakupaswa kujiingiza kwenye hili.hakuwa na sababu ya kujiweka kwenye level ya akina Lema,Msigwa na Sugu.Ni kujidharirisha.

Bila kujua,amejishushia heshima katika hili.

Unaonyesha ulivyo juha zaidi ya JUHA KALULU,Mnyika ni mkurugenzi wa habari wa chama kwa mawazo yako asiyasemee maamuzi ya chama?Kumbuka anaweza kuwa hayaungi mkono lkn ndio yameshapitishwa hanabudi kutujuza na kuyatetea la sivyo hafai kwa nafasi ya uongozi
 
Wewe mleta mada ni mkurupukaji kweli. Kukaa kimya katika mgogoro sio busara. Wenye akili tunajua no one is neutral under the sun.

"If you are neutral at the situation of oppression, then you have taken the oppressor's side"

Sasa pima mwenyewe nani ni Oppressor na nani ni Oppressed katika hili sakata, then utajua side ya huyo alie kimya (Neutral)
 
Mnyika na hata huyo mdee wasitegemee kupata ubunge katika majimbo ya dar! Anayebisha abishe tu lkn atajua 2015 itakapofika

Jinsi upepo unavyokwenda uenda CDM ikapoteza majimbo mengi 2015.
 
Kwa wanaojua msimamo wa Mdee, tunaelewa kwa nini yuko kimya!. Pia ameisha jua madhambi ya Chadema kufanya fault finding cherry picking za kuwahukumu watu kwa makosa yao tuu regardless wameifanyia nini Chadema. Anajijua aliingiaje Chadema, what was her inspiration hadi kujoin Chadema. Wewe umemuona Halima tuu?!. Hujiulizi mbona Prof. Safari yuko kimya?.
Pasco

Vipi pasco aka mpanda mbegu ya udini aka mchochea kuni upo?
 
kama baraza kuu litashidwa maamuzi ya kawaida kama haya ,,,basi CDM itakua ni tawi la CCM,,,kama washidwa kuamua kwa umoja dhidi ya kibaraka, msaliti, basi CDM itakuwa si chama makini,,,,,kama watashidwa kufanya maamuzi mepesi kabisa kwa sababu ya kuhogwa je KURA 2015 wataweza kulinda......Kama mimi mwanachama wa kawaida nahasira hivi je mtu ambaye ni baraza kuu itakuaje,,,,,Mimi ningekuwa huko baraza kuu si kumfukuza tu mimi hata MAKOFI angeyapata

mimi ningekuwa huko baraza kuu ningemlamba bakora kishenzi!!!halafu ningemtupa dirishani.shenzy kabisa.amekidhalilisha sana chuo kikuu alichosoma.UDSM inaonekana sasa ni mafi kabisa.inatoa wasomi aina ya zitto??udsm ianzishe utaratibu wa kuwafuatilia wahitimu wake.WANAKIAIBISHA MITAANI.WANAKISHUSHIA HADHI.
 
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii

kumbe vichaa wengi sana. Use unatafakari kabla ya kutuma uzi wa kupuuzi kama huu. Wote wakikaa kimya nani atamaliza matatizo haya? Huyo mdee hayumo kwenye CC? na huko haongeagi? unafikiri kukaa kimya family yako inapotaka kuangamia ni ushujaa? Hata kama wazazi Wako wanatoana meno ndani we unawashuhudia ukiwa mtu mzima unaweza kutoka nje ukajiita shujaa kwa watu kuwa nimewaacha wazazi wauane wenyewe ndani? U must be crazy
 
@Njepo si aondoke CHADEMA ife mbona anangangana kwenda mahakamani??
Wacheni vitisho ZZK aondoke watu
tupumue, hana lolote anavuruga chama, ni pandikizi la CCM tuu!!
 
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii

Kama unachochea kuni, haziwaki na nibichi.. baada ya kichapo cha Alex tegeta alikuja tunajua aliongea nn.. huwezi kukosa heshima kwa jamii kwa kusema zzt ni mhaini na msaliti...CCM mnatapatapa na galasa lenu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom