Edmond
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 359
- 54
Mzee naamini unachekea chini, maana mpinzani wako mkubwa EL kabwagwa, any way ndo demokrasia yenyewe, ila naomba wewe na chama chako mjifunze kukubali matokeo kwa haraka na sio kusumbua vijana kulinda kura usiku kucha, kisa tu ninyi ni wagumu wa kukubali kushindwa, naomba mfikishie mwenyekiti wako haya mawazo yangu, vurugu mnasababisha wenyewe mzee.