Hizi ni dalili kuwa CCM hawamtaki Rais Samia?

Ukisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.

Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima yake toka kwa watu kama kina Makonda.

Mashambulizi dhidi yake ndani ya CCM yamekuwa makubwa Sana na dalili mojawapo ni jinsi wale wanaojiita waumini wa Magufuli ndani ya CCM wanavyoanza kumshambulia hadharani.

Kwa Sasa kama asingekuwa na cheo cha Urais nadhani wababe ndani ya CCM wangeshamfukuza chamani waweke mtu wao.
Kumrudisha Makonda kwenye system kulimharibia mengi sana na kuongeza maadui.. Kumsifia juzi ndio kumemmaliza kabisa .. Backup aliyonayo kwasasa ni ile cycle ya wanaofaidika naye
 
Yeye mwenyewe alitaka kuwa muhudumu WA ndege urais ni mzigo mkubwa saana kwake ni vile tuu Hana namna
2007
FB_IMG_1710681645096.jpg
 
Kumrudisha Makonda kwenye system kulimharibia mengi sana na kuongeza maadui.. Kumsifia juzi ndio kumemmaliza kabisa .. Backup aliyonayo kwasasa ni ile cycle ya wanaofaidika naye
Huyo kijana Huwa ni mharibifu.

Ukimteua, Badala ya kukusaidia, anajisaidia Yeye😀
 
Mambo yaliyopunguza sana kuaminika kwa Rais Samia, ni pamoja na suala la kuwapa bandari DPW na kuyapa makampuni ya huko Uarabuni hifadhi za Taifa. Jambo hilo limeleta wasiwasi mkubwa kama Rais ana dhamira ya kulinda rasilimali za nchi kwa maslahi ya sasa na ya baadaye ya Taifa.

Mbarawa, Rostam na Abdu wamemtia doa baya ambalo linamfanya asiaminike kwa kiwango kinachotakiwa kwa kiongozi mkuu wa nchi.
 
Familia ikiamua kumkumbuka ndugu Yao aliyekuwa Rais Kuna shida Gani?

Pale mwitongo Huwa wanafanya na hao maparoko Huwa wanaenda,

Kwanini hamtaki Magu akumbukwe, aliwakosea nini?
Familia? Akina Biteko na Kassim Majaliwa ni mabinamu kwenye familia hiyo?! Acheni utani. Shigella ni mwanafamilia ya wapi?!
Hatutaki double standards, kama wengine wanaonekana hawastahili kumbukizi tujulishwe. Wote waliitumikia nchi hii equally.
 
Familia? Akina Biteko na Kassim Majaliwa ni mabinamu kwenye familia hiyo?! Acheni utani. Shigella ni mwanafamilia ya wapi?!
Hatutaki double standards, kama wengine wanaonekana hawastahili kumbukizi tujulishwe. Wote waliitumikia nchi hii equally.
Kwani Kuna uadui Gani Hadi Shigela, Biteko, Kassim wasihudhurie?

Mbona Samia ameenda chato mara nyingi tu?

Mna tatizo gani na kivuli Cha Magufuli.?
 
Ukisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.

Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima yake toka kwa watu kama kina Makonda.

Mashambulizi dhidi yake ndani ya CCM yamekuwa makubwa Sana na dalili mojawapo ni jinsi wale wanaojiita waumini wa Magufuli ndani ya CCM wanavyoanza kumshambulia hadharani.

Kwa Sasa kama asingekuwa na cheo cha Urais nadhani wababe ndani ya CCM wangeshamfukuza chamani waweke mtu wao.
Na yeye ni Muumini wa nani?
 
Kwani Kuna uadui Gani Hadi Shigela, Biteko, Kassim wasihudhurie?

Mbona Samia ameenda chato mara nyingi tu?

Mna tatizo gani na kivuli Cha Magufuli.?
Yaani hawawezi kuongea bila kumtaja kwa mabaya Magu, shida kweli kweli aise.
 
Mambo yaliyopunguza sana kuaminika kwa Rais Samia, ni pamoja na suala la kuwapa bandari DPW na kuyapa makampuni ya huko Uarabuni hifadhi za Taifa. Jambo hilo limeleta wasiwasi mkubwa kama Rais ana dhamira ya kulinda rasilimali za nchi kwa maslahi ya sasa na ya baadaye ya Taifa.

Mbarawa, Rostam na Abdu wamemtia doa baya ambalo linamfanya asiaminike kwa kiwango kinachotakiwa kwa kiongozi mkuu wa nchi.
Hapo kwenye bandari, basi tu!!
 
Kumbe ndiyo maana Maza kahamisha Ikulu kurudi Magogoni
Maana zaidi ya mwezi hajakanyaga Chamwino
ikulu ni magogoni jijini dar tu, hiyo ikulu ya chamwino mjini dodoma ni ya show off tu wala haina impact kwa nchi hii. Wapi uliona nchi ina ikulu mbili? Ikulu ni moja tu iliyopo mji mkuu wa Tanzania, Dar es Salaam.
 
Ukisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.

Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima yake toka kwa watu kama kina Makonda.

Mashambulizi dhidi yake ndani ya CCM yamekuwa makubwa Sana na dalili mojawapo ni jinsi wale wanaojiita waumini wa Magufuli ndani ya CCM wanavyoanza kumshambulia hadharani.

Kwa Sasa kama asingekuwa na cheo cha Urais nadhani wababe ndani ya CCM wangeshamfukuza chamani waweke mtu wao.
Ramli 😁😁

Anaingia mwaka wa 4 huu ,mlisema hatomaliza miwili mara hatogombea 2025.

Mda ni msemakweli,nitawakumbusha yote
 
Ukisikiliza kwa umakini jinsi Samia Hassan Suluhu Mwenyekiti wa CCM Taifa anavyoongea kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, unagundua ndani ya CCM Kuna kutokutakiwa kwake.

Siku hizi huoni Samia akiongea zaidi kama kiongozi mwenye mamlaka ndani ya CCM, bali ni kama kiongozi anayetegemea hatima yake toka kwa watu kama kina Makonda.

Mashambulizi dhidi yake ndani ya CCM yamekuwa makubwa Sana na dalili mojawapo ni jinsi wale wanaojiita waumini wa Magufuli ndani ya CCM wanavyoanza kumshambulia hadharani.

Kwa Sasa kama asingekuwa na cheo cha Urais nadhani wababe ndani ya CCM wangeshamfukuza chamani waweke mtu wao.
Yusuf Makamba and Co watamuokoa maana ndiyo watu wake anaowategemea kuliko chama
 
Back
Top Bottom