Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 809
- 1,399
Kirusi cha ukimwi kilishawahi kuonekana?Dawa zipo hata hapa Tanzania na watu wanapona.
Nimeshuhudia kwa macho yangu mtu alikuwa taabani anakula vidonge vya hospitali, akaambiwa kuna mtu Magomeni anaitwa Msigwa ana dawa yake kaitengeneza kutokana na miti shamba, muathirika akaona hana cha kupoteza aanze kuitumia, mwaka wa tano sasa yupo negative na kawacha uasherati kabisa. Na aliwacha siku nyingi sana kutumia madawa ya matumaini.