Hivi wakemia ulimwenguni kote wameshindwa kabisa kutengeneza dawa ya kutibu UKIMWI?

Watu wangeupitia ule uzi wa deception naamini kusingekuwa na mijadala inayoendelea kila kukicha, tuliomuelewa tumeelewa wanaondelea kutishwa na uongo wa wazungu waendelee kutishwa.

Ukimwi umekuwa kama story tu hauna uthibitisho wa kisayansi umebakia imani tu ya kuunganisha matukio na sentensi. Amkeeeniiii
 
Watu wangeupitia ule uzi wa deception naamini kusingekuwa na mijadala inayoendelea kila kukicha, tuliomuelewa tumeelewa wanaondelea kutishwa na uongo wa wazungu waendelee kutishwa.

Ukimwi umekuwa kama story tu hauna uthibitisho wa kisayansi umebakia imani tu ya kuunganisha matukio na sentensi. Amkeeeniiii
I wish there were at least 100 million people in the World like you comrade,it would make such a huge deference.
 
Back
Top Bottom