GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 397
- 1,273
Blame that on our very theistic values.
Got nothing to do with beliefs or justification of faith, just morons exuding their proverbial ignorance, bigotry and chauvinism.
Blame that on our very theistic values.
Vyote vina umuhimu Mkuu, ndiyo maana Wazee wetu pamoja na umasikini wao waliweza Kuoa Bibi 2 hadi 6.Let's talk reality
Kwamba mwanaume mwenye mke anapata heshima kuliko mwanaume mwenye hela?
Kwani hana Mke? Ni bacNdoa ilivunjika kitamboMbowe yupo asiye na ndoa? Hujui chama kimeasisiwa na baba mkwe?
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Unaweza kudhibitisha kuwa furaha us mwanaume hupotea mara baada ya kuoa?Wewe ni binadamu muongo zaidi kuwahi kukushuhudia.Ndoa ipi ilete utulivu?
Maisha ya furaha kwa mwanaume uisha mara tu anapooa.
NdioUnaweza kudhibitisha kuwa furaha us mwanaume hupotea mara baada ya kuoa?
Tupe udhibitisho wako sasaNdio
Sasa mbona kama umejijibu mwenyewe hapa. Huyu unayemuona anapata hizi faida ni mwanamke na kuwa nazo ni lazima apate mwanaume amuoe ambaye ndo huyu unauliza napata faida zipi. Furaha ni kuwa na mwenza kwa pande zote so na mwanaume anafaidi pia kuwa na mwenza mwenye furaha na ndoaMwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,
@dronedrakeVijana wanaokataa ndoa asilimia 100 wanajichua
We jamaa si tukupe hii nchi tu.Sema miaka hii wanetu wanaoa malaya sana, unakuta demu katumika sana kabla ya ndoa na bado ataendelewa kugongwa baada ya ndoa
Hizi mambo zinafanya ndoa ikose thamani kabisa. Kufanya maisha na malaya inataka moyo
Takwimu zinasema hv, wanaume kwenye ndoa wanaishi zaidi kuliko wasio na ndoa,Nimekuwa nikijiuliza Nini cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa, kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa. Siungani na wale wa kataa ndoa, ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa. Kwa wanaume, una pesa, una watoto.
Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,
Najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana .............
Kuna watu maarufu mitaani wenye pesa na hawana ndoa, mfano mchukue Mbowe, Aliko Dangote, Diamond Platnum, Myika Nk na wengine wengi wenye pesa na hawana ndoa, vipi wenye wanonekana kutetereka kwa kuikosa ndoa.
Mchukulie Sugu ameoa akiwa na almost 40 hivi kuna kitu anaweza kuwa anajutia sawa na Gerald Amos yule mwimba kwanya pale kanisani kwenu aliyeoa akiwa na miaka 20 na anaishi kwenye nyumba ya kupanga, hawezi panga mlo wa wiki, watoto wapo Kayumba school, ada, nguo vinamtesa
Kama haujamkuta bikira huyo ni malayaWe jamaa si tukupe hii nchi tu.
Yani mimi nashangaa sana wanaume wanalalamika kwenye mahusiano au ndoa ukiangalia chanzo unaona kabisa jamaa anaangaika na malaya.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mke au mwanamke na malaya.
Na huo ndio ukweli mchunguKama haujamkuta bikira huyo ni malaya
3. RespectMwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,
Kama mwanaume kwel achana na kampeni hizi za kishogaNimekuwa nikijiuliza Nini cha maana mwanaume anapata kwenye ndoa, kiasi kwamba ajutie anapokuwa hana ndoa. Siungani na wale wa kataa ndoa, ila najiuliza tu Nini kinapotea kama haupo kwenye ndoa. Kwa wanaume, una pesa, una watoto.
Mwanamke akiwa kwenye ndoa anapata faida hizi .
1. Usalama wa kijamii na kifedha.
2. Furaha nk ,
Najiuliza Sana sababu wanaume wenye pesa na hawana ndoa naona kama wapo happy Sana na afya zao zipo SAWA sana .............
Kuna watu maarufu mitaani wenye pesa na hawana ndoa, mfano mchukue Mbowe, Aliko Dangote, Diamond Platnum, Myika Nk na wengine wengi wenye pesa na hawana ndoa, vipi wenye wanonekana kutetereka kwa kuikosa ndoa.
Mchukulie Sugu ameoa akiwa na almost 40 hivi kuna kitu anaweza kuwa anajutia sawa na Gerald Amos yule mwimba kwanya pale kanisani kwenu aliyeoa akiwa na miaka 20 na anaishi kwenye nyumba ya kupanga, hawezi panga mlo wa wiki, watoto wapo Kayumba school, ada, nguo vinamtesa
Hii tamaduni ya KIPUMBAVU inasumbua sana jamii yetu,.... NDOA NI OVERRATEDThis is stupidity of high levels!!!