Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Balqior

JF-Expert Member
Jun 8, 2021
1,709
5,697
Ili swala la Hakimi lime-trend duniani kote ukiingia nairaland, JamiiForums.com, etc wanaume wanampongeza Hakimi, najiuliza ina maana wanaume wote hao wameshawahi pigwa na vitu vizito kwenye mahusiano yao na wanawake??

Ina maana kati ya wanaume wanaompongeza Hakimi, kuna walioliwa nauli,, kuna waliohudumia wanawake wakaishia kuachwa kwa dharau, kuna waliosomesha wachumba wakapigwa. Etc

Imefika mahali mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote, kila saa anajishtukia kwamba huyu mdada amefuata pesa kwangu na sio upendo, hata sie wanaume makapuku tunaogopa kutongoza.. maana twajua kinachofuata ni makombora..

Hali ikiendelea hivi, Najiuliza mfano Mungu akiiacha dunia hivi hivi miaka 500 ijayo, taasisi ya ndoa itakuaje? Watu watafunga ndoa kweli??Wanaume tunaogopa wanawake, wanawake wanavizia wanaume.
 
960a64a7-daf8-42af-ab02-609b9711db7a.jpg
 
Ni maisha ya kutokuaminiana....na ubinafsi

Wengi wameoa Ila hawawaamini walio waoa.

Kwann Mali ziandikwe jina la Mama?? Akifa hizo Mali zikigawanywa Kwa wanafamilia wengine utalalamika??

Bora hata muandike majina ya watoto wenu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake ndio chanzo mpaka kufikia huko.
Note: Mwanamke sio wa kumuamini kabisa zaidi ya mama yako mzazi
 
Ni maisha ya kutokuaminiana....na ubinafsi

Wengi wameoa Ila hawawaamini walio waoa.

Kwann Mali ziandikwe jina la Mama?? Akifa hizo Mali zikigawanywa Kwa wanafamilia wengine utalalamika??

Bora hata muandike majina ya watoto wenu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ugawane na Ndugu zako nao wale jasho lako sio wanawake ambae hata hujazaa ane aende akazile na Mwanaume mwingine huko
 
Back
Top Bottom