Hivi kweli mtu anaamni Marekani hakuna madini? Africa tujitathmini sana

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
400
1,400
Jana nilipost ugunduzi wa madini ya RE-E rare earths nchini marekani Jimbo la Wyoming.

Kuna baadhi ya watu walibisha kwamba marekani ni waongo. Hawana hayo madini. Nilijiuliza sana uwezo wa Hawa watu wa kufikiri. Ukubwa wa USA🇺🇸 ni karibia 10 million km2 za mraba.

Ina maana ukubwa wa USA ni karibia nchi zote za SADC au Tanzania mara kumi. Marekani Ina raia wachache sana (333 million).

Sehemu kubwa ya USA ni pori. Ni ardhi ambaye haijaguswa kabisa.

Swali linakuja, kwenye nchi kubwa kama USA utakosa madini mengi.

Kama tusafia DRC kwamba ni nchi yenye madini mengi, ni saidi sana marekani. Marekani ni nchi yenye utajiri mkubwa sana wa ardhi, misitu, mbuga, maziwa, madini. Tujifunze geography ya dunia na features zake. USA kama nchi ni 1/3 ya bara la Africa.

Tuache uvivu wa kusoma
 
Jana nilipost ugunduzi wa madini ya RE-E rare earths nchini marekani Jimbo la Wyoming.

Kuna baadhi ya watu walibisha kwamba marekani ni waongo. Hawana hayo madini. Nilijiuliza sana uwezo wa Hawa watu wa kufikiri. Ukubwa wa USA ni karibia 10 million km2 za mraba.

Ina maana ukubwa wa USA ni karibia nchi zote za SADC au Tanzania mara kumi. Marekani Ina raia wachache sana (333 million)
Sehemu kubwa ya USA ni pori. Ni ardhi ambaye haijaguswa kabisa.

Swali linakuja, kwenye nchi kubwa kama USA utakosa madini mengi.
Kama tusafia DRC kwamba ni nchi yenye madini mengi, ni saidi sana marekani. Marekani ni nchi yenye utajiri mkubwa sana wa ardhi, misitu, mbuga, maziwa, madini. Tujifunze geography ya dunia na features zake. USA kama nchi ni 1/3 ya bara la Africa. Tuache uvivu wa kusoma
Alisikika mkazi wa California - Bunju "B"

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
USA wana madini mengi sana na mafuta wanachoomba, sehemu nyingi zilishachimbwa na wakoloni wa Uingereza kipindi wanatawala USA, ila madini wanayo mengi sana, wanataka kwanza ya Africa ,yakiisha ndio wataanza kuchimba huko kwao
 
Ni ujinga, unazi na kutokujua tu kunakowasumbua wabongo wengi. Marekani wana madini karibia ya aina zote na mengi kwa kiwango kikubwa sana tena hata baada ya uchimbaji wa mamia ya miaka.

Kuna wengine ukiwaambia USA ndio wanaongoza kuzalisha mafuta duniani kwenye ardhi wanatoa macho kama mjusi kafiri.
 
Jana nilipost ugunduzi wa madini ya RE-E rare earths nchini marekani Jimbo la Wyoming.

Kuna baadhi ya watu walibisha kwamba marekani ni waongo. Hawana hayo madini. Nilijiuliza sana uwezo wa Hawa watu wa kufikiri. Ukubwa wa USA ni karibia 10 million km2 za mraba.

Ina maana ukubwa wa USA ni karibia nchi zote za SADC au Tanzania mara kumi. Marekani Ina raia wachache sana (333 million).

Sehemu kubwa ya USA ni pori. Ni ardhi ambaye haijaguswa kabisa.

Swali linakuja, kwenye nchi kubwa kama USA utakosa madini mengi.

Kama tusafia DRC kwamba ni nchi yenye madini mengi, ni saidi sana marekani. Marekani ni nchi yenye utajiri mkubwa sana wa ardhi, misitu, mbuga, maziwa, madini. Tujifunze geography ya dunia na features zake. USA kama nchi ni 1/3 ya bara la Africa.

Tuache uvivu wa kusoma
Kwamba ukubwa wa eneo na maeneo yasiyoguswa vinahusianaje na kupatikana kwa madini?
 
Jana nilipost ugunduzi wa madini ya RE-E rare earths nchini marekani Jimbo la Wyoming.

Kuna baadhi ya watu walibisha kwamba marekani ni waongo. Hawana hayo madini. Nilijiuliza sana uwezo wa Hawa watu wa kufikiri. Ukubwa wa USA🇺🇸 ni karibia 10 million km2 za mraba.

Ina maana ukubwa wa USA ni karibia nchi zote za SADC au Tanzania mara kumi. Marekani Ina raia wachache sana (333 million).

Sehemu kubwa ya USA ni pori. Ni ardhi ambaye haijaguswa kabisa.

Swali linakuja, kwenye nchi kubwa kama USA utakosa madini mengi.

Kama tusafia DRC kwamba ni nchi yenye madini mengi, ni saidi sana marekani. Marekani ni nchi yenye utajiri mkubwa sana wa ardhi, misitu, mbuga, maziwa, madini. Tujifunze geography ya dunia na features zake. USA kama nchi ni 1/3 ya bara la Africa.

Tuache uvivu wa kusoma
WaTz wengi wameaminishwa rasilimali nyingi nzuri zipo Tz tu na si sehemu nyingine duniani si unajua maana ya rangi ya njano kwenye bendera....
 
NEVADA tu kuna migodi mikubwa ya dhahabu ambayo inaingia top ten ya migodi mikubwa ya dhahabu duniani.
Barrick ya wakina Peter Munk walikuwa wanamiliki mgodi hapo.

Hizi story nyingi za kukubwisha rasilimali zetu dhidi ya wazungu ni matokeo ya ukosefu wa elimu matembezi
 
Jana nilipost ugunduzi wa madini ya RE-E rare earths nchini marekani Jimbo la Wyoming.

Kuna baadhi ya watu walibisha kwamba marekani ni waongo. Hawana hayo madini. Nilijiuliza sana uwezo wa Hawa watu wa kufikiri. Ukubwa wa USA🇺🇸 ni karibia 10 million km2 za mraba.

Ina maana ukubwa wa USA ni karibia nchi zote za SADC au Tanzania mara kumi. Marekani Ina raia wachache sana (333 million).

Sehemu kubwa ya USA ni pori. Ni ardhi ambaye haijaguswa kabisa.

Swali linakuja, kwenye nchi kubwa kama USA utakosa madini mengi.

Kama tusafia DRC kwamba ni nchi yenye madini mengi, ni saidi sana marekani. Marekani ni nchi yenye utajiri mkubwa sana wa ardhi, misitu, mbuga, maziwa, madini. Tujifunze geography ya dunia na features zake. USA kama nchi ni 1/3 ya bara la Africa.

Tuache uvivu wa kusoma
Sikussoma hilo bandiko lako, ila kuna watu hawajui au ni ubishi tu kuna watu ukiwaambia mafuta kwa mara ya kwanza yamegunduliwa USA wanabisha na kuja na uutetezi usio na maana nadhani ni hulka
 
Jana nilipost ugunduzi wa madini ya RE-E rare earths nchini marekani Jimbo la Wyoming.

Kuna baadhi ya watu walibisha kwamba marekani ni waongo. Hawana hayo madini. Nilijiuliza sana uwezo wa Hawa watu wa kufikiri. Ukubwa wa USA🇺🇸 ni karibia 10 million km2 za mraba.

Ina maana ukubwa wa USA ni karibia nchi zote za SADC au Tanzania mara kumi. Marekani Ina raia wachache sana (333 million).

Sehemu kubwa ya USA ni pori. Ni ardhi ambaye haijaguswa kabisa.

Swali linakuja, kwenye nchi kubwa kama USA utakosa madini mengi.

Kama tusafia DRC kwamba ni nchi yenye madini mengi, ni saidi sana marekani. Marekani ni nchi yenye utajiri mkubwa sana wa ardhi, misitu, mbuga, maziwa, madini. Tujifunze geography ya dunia na features zake. USA kama nchi ni 1/3 ya bara la Africa.

Tuache uvivu wa kusoma
Una hoja ya msingi..

Ukichukulia mfano wa hazina ya gesi asili (Natural Gas Reserve), Marekani ni ya 4 duniani, ikitanguliwa na Russia, Iran na Qatar.

Gas reserve ya USA ni Million cubic feet (MMcf) 238,704,000.

Tanzania ipo namba 82 duniani kwa hazina ya gesi asili, ikiwa na MMcf 230,000.
Ina maana kwa gas reserve, USA wanatuzidi zaidi ya mara 1000..

 
Tuiite Marekani ya wazungu, wakoloni, waliovamia na kidogo kuwaua Wahindi wekundu wote au Marekanj ya nani?! Mleta mada ebu tuelimishe...
 
The ten countries with the most gold are :
  1. United States – 8,133.47 t.
  2. Germany – 3,355.14 t.
  3. Italy – 2,451.84 t.
  4. France – 2,436.5 t.
  5. Russia – 2,298.53 t.
  6. China – 1,948.31 t.
  7. Switzerland – 1,040 t.
  8. Japan – 845.97 t.
 
Majukwaani huko utadhani Tz ndio nchi inayoongoza kwa rasilimali duniani. Hata 50 bora haimo! Ziko nchi kila nyanja wako njema kuanzia DNA and everything else.
Sasa nchi yenu wataiweka vipi katika list ya Top 50 bora wakati hata kuvitangaza vivutio vyetu vya utalii hatufanyi hivyo na hata maajabu ya hii nchi hatuyapromote dunia iyatambue, hao Watoa taarifa watapata wapi data kama sisi hatuna muda wa kuitangaza nchi yetu?

kama media zao huwapa taarifa wanazotaka wao muzijue msishangae hata sifa bora wakajitungia kwa maslahi yao, huwa nashangaa vijana wapumbavu msiojua utajiri wa hii nchi, tembeeni zunguken mikoani huko alafu mtoe conclusion kwa ku compare na hizo nchi mnazoona tajiri.

Vijana wengi na wazee wapumbavu ambao hata VISA/passport hawana kazi yao kulalamika na kuilaani nchi kwa ufukara wao wenyewe.

Hivi nyie vilaza huwa mnajua kwamba Tanzaia ndio nchi nambari 2 kwa Vivutio vingi vya utalii pamoja na resources baada ya Brazili?.

Hizo elimu mnasomeaga wapi vilaza nyie mnaojazwa chuki za kijinga namna hiyo,

Hiyo USA haina lolote la ajabu kuishinda hata Tanzania vijana tembeeni acheni kulishwa upumbavu na hizo media&movies, Tokeni magetoni muijue dunia iko vipi
 
Ni ujinga, unazi na kutokujua tu kunakowasumbua wabongo wengi. Marekani wana madini karibia ya aina zote na mengi kwa kiwango kikubwa sana tena hata baada ya uchimbaji wa mamia ya miaka.

Kuna wengine ukiwaambia USA ndio wanaongoza kuzalisha mafuta duniani kwenye ardhi wanatoa macho kama mjusi kafiri.
Hakuna anaesumbuka na hao mabwana zenu, watu wanaumia pale nchi zao tajiri za resources zinapofanyiwa hujuma na hao Miungu watu wenu mnaowaona bora sana, kama kwao kuna hayo madini Afrika wangefuata nini? Ulaya&America hakuna madini ya maana ndiomaana hawatoacha kuiandama Afrika, tembeeni nyie wajinga mujifunze mambo ambayo hamtowai kuyaona kwenye hizo media mnazolishwa pumba.

Bila afrika hakuna uhai dunian, wachache wanalijua hili
 
Back
Top Bottom