Nyani Mweusi
New Member
- Jan 30, 2012
- 4
- 0
kwa mtazamo wangu,hali ya hewa inaweza ikachangia,coz tz vumbi jua vinaharibu sana ngozi coz kwa mtu wa kawaida ambaye huna usafiri unapotoka hme asubuhi na kuelekea kwenye mihangaiko ya kawaida na unaporudi jioni kunakuwa kuna tofauti kubwa kwenye ngozi ya uso,na sehemu nyingine,hivyo2 kwa m2 ambaye anashinda ofcn 24 hour na kiyoyoz na mkulima au machinga anyechomwa na jua cku nzima