kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Sijui kama swali hili najiulizaga mimi mwenyewe tu.
Hivi akili zetu sisi watu weusi na za wenzetu weupe yaani wachina, wazungu na wengine wengi ziko sawa?
Maana leo nimeona video fulani ya kijana mmoja wa kichina nafikiri yule atakuwa under 18- katengeneza ndege fulani fulani hivi na kanaruka angani
Na uku kwetu Afrika tunaona vijana wengi wanajaribu kutengeneza vitu kama ivyo hakuna chochote wanacho weza.
Na hata kwenye swala la kutekeleza vitu wenzetu wako tofauti na sisi kabisa
Au tulivyo weusi na akili zetu ni nyeusi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi akili zetu sisi watu weusi na za wenzetu weupe yaani wachina, wazungu na wengine wengi ziko sawa?
Maana leo nimeona video fulani ya kijana mmoja wa kichina nafikiri yule atakuwa under 18- katengeneza ndege fulani fulani hivi na kanaruka angani
Na uku kwetu Afrika tunaona vijana wengi wanajaribu kutengeneza vitu kama ivyo hakuna chochote wanacho weza.
Na hata kwenye swala la kutekeleza vitu wenzetu wako tofauti na sisi kabisa
Au tulivyo weusi na akili zetu ni nyeusi?
Sent using Jamii Forums mobile app