St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,638
- 4,522
- Thread starter
- #81
mada zingine nazo....au ndo kujiliwaza baada ya uchaguzi?
Mama kwani wewe hujawahi kutongoza au kutongozwa?
mada zingine nazo....au ndo kujiliwaza baada ya uchaguzi?
ukishindwa wapo wanaouza si uende ...sokoni?
kutongoza si kosa na hakuna mtu anastaili adhabu kwaa jili ya kutongoza .....
hakuna mtu ambaye leo hii angekuwa ameolewa au kuwa na partner kama si kutongozana ........
lakini ni sisi wa 21st century ndo tunao haribu jinsi ya kutongozana......
yaani we una mfuata mtu halafu kitu cha kwanza unasema "dada we ni mzuri nikioga nakuona kwenye beseni" hivi kweli....
Umepata PM yangu?
mmhh bwana mi bado nasubiria...
nilizani umesha nitupa......
Hilo haliwezi kutokea mama.
The Following User Says Thank You to afrodenzi For This Useful Post:
Paka mweusi (Today)
asante sana ....
lakini bado hujanipa sehemu na tarehe
bado nasubiria hahahahahah lol
Mambo mzuri huenda taratibu mama sehemu na tarehe na saa vyote vinafuata,naona mwanzo mzuri huu.
hahah lo ok ....
nimekujibu PM yako .....
Nimeiona thanks:cheer2:.:focus: Vipi lakini wewe haupigi mawe na kusakizia mbwa au huwa unatoa adhabu gani?
Inabidi usiingie mkichwa mkichwa angalia na dalili za kukubalika zipo? kama hazipo basi okoa muda na songa mbele............wapo wengi wakusubiria wewe bila ya mwenyewe kujijua vile........je kutongoza ni kosa mpaka wanaume tustahili adhabu zote hizi?