bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Blaza tatizo kubwa ni timimg.
Kila kitu duniani ni timing tu.
ukisoma alama za nyakati unaweza mpata yeyote umtakaye.
Uhandsome pekee si hoja Shule mmmh!
Pesa, nayo wakati fulani haioni ndani.
Timing ndo kila kitu blaza.
ukitongoza onyesha kwamba umezimika, siyo kwa masafa mafupi bali ya kati.
Eti maneno mawili matatu mara unaonyesha nia na dhamira ya kula uroda.
Wakati mwingine mimacho yako au hata posing yako inaonyesha jinsi unavyotamani.
Mademu wengi cha kwanza wakipendacho ni mahusiano, ni urafiki siyo majambos.
Majambozos ni matokeo tu.
Mimi pamoja na shati langu la kutoboka mabega, enzi zangu nisha wahi tembelea mijiwanja ya nguvu bila nini wala ni.
Blaza timing blaza.
Usisukumwe na hamu ya kutaka uroda, ujenzi wa hoja na mfuatano wa mambo ndiyo jambo la kujenga msukumo.
Usilazimishe mambo hata siku moja.
Ukiwa huku majuu pochi ndo inatongoza.
Huku hapendwi mtu kwanja lake wala sura,inapendwa pochi tu.
Labda hapa mkuu utujuze kama unatafuta demu wa kugonga tu one-time kisha ukimbie au unatafuta mchumba ukaoe???kama ni kugonga tu fasta , sidhani kama unapasa kuweka usanii wote huu, kwa style ya maisha ya sasa!