TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
Hiyo unayoongelea ni michezo ya ma-teen. Hebu pata busara za watu wazima na utayaona ya kawaida?
Kama uko under 18 au ndo umevuka basi unahitaji kusaidiwa. Let us know how we can help u. Kutongoza hata rafiki wa sister wako ni kawaida tu na hutakiwi kupata mateso. Suala ni jinsi unavyofanya kitu hicho. U need to be very strategic vinginevyo unaaibika kama ilivyokutokea! The bottom line ni kuwa hujafanya kosa lolote hapo.
Mkuu hiyo ya rafiki wake sista ilikuwa bado nipo janki, ingawa ilinipa fundisho pia. Ila hili la kumpigia simu demu halafu anaweka loud speaker tena anakuchombeza na maneno matamu ili ubwabwaje utumbo akuchore na rafiki zake nimeishuhudia kwa macho yangu mtu akifanyiwa. Sometimes hawa watoto wa kike wanapenda sana kunyanyasa wakigundua kuwa mtu mzima kwake umefika, mi ndo maana siamini kwenye kupenda. Kiufupi nimekuwa tena sana tu. Otherwise, nashukuru kwa ushauri.