Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.
inaelekea na ww uliipenda huduma yao, haiwezekana umebanwa kichwa na matiti umetulia tu, check kwenye blue!!!
Jambo hili mimekaa nalo moyoni kwa muda mrefu sana, naomba mnisaidie hivihawa dada zetu wa kwenye hizi barber shops wapo kwa ajili ya kuwasafisha wateja wao au kuwatega? Kwa maana mmmmhh, naona wamezidisha mbwembwe sasa.
Barber shops za siku hizi ni madangulo pia. Wanaume muwe waangalifu. Kwani mkinunua hizo scrubs ukampelekea mkeo home akakusugua unashindwa nini?
Massage parlours nazo ni shughuli nyingine pevu. Nchi za watu massage parlours zinaajiri watu waliosomea fani tena wako makini sana.
</p>Mzee, juzi nilienda kwenye barber shop moja ya maeneo ya sinza kwenye majira ya saa kumi za jioni hivi. Mzee nikapokelewa na kadada kamoja kamevaa tight mbaya, kakanitabasamia alafu kakanifumbia jicho moja"Kakanikonyeza'', baada ya kunyolewa kenyewe ndio kakanichangamkia kuwa ni mteja wake wa siku nyingi. Mzee, kabla sijaanza kupakwa zile chemical zao kakashika kichwa, shingo, kidevu kimapenzi hasa'romantic touches'. Baadae wakati wa kuscrub, kakawa kanachezea masikioni yangu kwa muda mrefu. Wakati wa kuoshwa ndo kabisa, kichwa hakikutolewa kwenye mtindi wake. Hii naona ni zaidi ya customer care
Mkuu hiyo ndio salon nayoendaga wana huduma nzuri na vinyozi na kina dada ni wacheshi na wanajua kazi yao,hayo mengine ulosema ni mwenyewe tu wanavokuona,wengi tunapata huduma ya heshima pale.kuna moja iko pale baada ya kupita africa sana kwa mbele kama unakwenda bamaga kushoto wale mademu ni machangu tu nilikwenda kunyoa pale wakati najiandaa kwenda kwenye graduation UDSM ni noma wanawake wanajiuza hakuna ubishi hizo huduma ni mtego.
na nyingine iko victoria pale karibu na petrol station kwenye kale kanjia kanaelekea mwananyamala kuna demu mule anaitwa ........(acha nihifadhi jina lake) yeye alinishika dick kabisa baada ya kumaliza kunifanyia scrubs na kupipaka black, akasema naitaka hiyo, nikacheka nikachomoka nikampa 10,000 ya huduma sikuomba chenji nikatoka nduki fasta sijawahi kurudi tena nilipachukia.
Mkuu kumbe na wewe chimbo lako pale:lol::lol:Mkuu hiyo ndio salon nayoendaga wana huduma nzuri na vinyozi na kina dada ni wacheshi na wanajua kazi yao,hayo mengine ulosema ni mwenyewe tu wanavokuona,wengi tunapata huduma ya heshima pale.
Hivi hao madem wa barber shop wanawashikashika watu wangapi kwa siku,kAma umeenda kwa nia ya kunyoa na scrub wala hutahisi kitu,ila kama una mengine hiyo juu yako,na demu kama huyo huna haja ya kushtuka siku hiyo unamtafutia siku unamuibukia si kwa ajili ya kunyoa au huduma yake.
Mkuu hiyo ndio salon nayoendaga wana huduma nzuri na vinyozi na kina dada ni wacheshi na wanajua kazi yao,hayo mengine ulosema ni mwenyewe tu wanavokuona,wengi tunapata huduma ya heshima pale.
:lol::lol::lol: Mkuu ndio chimbo lako nini pale opposite na petrol stationmkristo ushike moyo....pale sinza mori,,,,,ajajajajajajajaj