wamefanyaje? tupe picha halisi kwanza
Mzee, juzi nilienda kwenye barber shop moja ya maeneo ya sinza kwenye majira ya saa kumi za jioni hivi. Mzee nikapokelewa na kadada kamoja kamevaa tight mbaya, kakanitabasamia alafu kakanifumbia jicho moja"Kakanikonyeza'', baada ya kunyolewa kenyewe ndio kakanichangamkia kuwa ni mteja wake wa siku nyingi. Mzee, kabla sijaanza kupakwa zile chemical zao kakashika kichwa, shingo, kidevu kimapenzi hasa'romantic touches'. Baadae wakati wa kuscrub, kakawa kanachezea masikioni yangu kwa muda mrefu. Wakati wa kuoshwa ndo kabisa, kichwa hakikutolewa kwenye mtindi wake. Hii naona ni zaidi ya customer care
Mkuu kuna jamaa alienda na wife wake mbona palichimbika kuona husband wake anashikwashikwasasa kama ndo hivyo si waongeze maneno mengine mbele ya ''''' and Sex Trading'''' ili tujue moja.
Mzee, juzi nilienda kwenye barber shop moja ya maeneo ya sinza kwenye majira ya saa kumi za jioni hivi. Mzee nikapokelewa na kadada kamoja kamevaa tight mbaya, kakanitabasamia alafu kakanifumbia jicho moja"Kakanikonyeza'', baada ya kunyolewa kenyewe ndio kakanichangamkia kuwa ni mteja wake wa siku nyingi. Mzee, kabla sijaanza kupakwa zile chemical zao kakashika kichwa, shingo, kidevu kimapenzi hasa'romantic touches'. Baadae wakati wa kuscrub, kakawa kanachezea masikioni yangu kwa muda mrefu. Wakati wa kuoshwa ndo kabisa, kichwa hakikutolewa kwenye mtindi wake. Hii naona ni zaidi ya customer care
Mawazo yako nahisi ni kama vile ni sehemu ya ubongo wangu. ALAAAAAAAAAAAAAA, kumbe ni new strategy ya kuwindana
Barber shops za siku hizi ni madangulo pia. Wanaume muwe waangalifu. Kwani mkinunua hizo scrubs ukampelekea mkeo home akakusugua unashindwa nini?
Massage parlours nazo ni shughuli nyingine pevu. Nchi za watu massage parlours zinaajiri watu waliosomea fani tena wako makini sana.
hii ni aina nyingine ya ukahaba tu