marshal
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 353
- 157
U get what u want!! Mi naenda kwenye hizo hizo Salon za masharobaro na hao madada wao wakiwepo atafanya huduma jinsi nitakavyo mimi hakuna kuchekeana wala kuleteana mambo ya mapenzi.Next time achana na mambo ya kukonyezana we Mwambie nahitaji scrub na baada ya hapo unadai sh ngapi siku ingine ukirudi hakuletei ishu za kidwanzi