kikwakwa
Senior Member
- Dec 20, 2011
- 105
- 12
Golden am real sorry bt also hata kama kaka yako angeishi milele bt msinge kuwa na future so muhimu shukuru Mungu amepunguza mlolongo wa matatizo katika maisha yako wewe na kaka yako pia familia yenu. So ni vema uendelee na maisha haya ambayo Mungu amekupa na si yale ya shetani
hujakosea.