Anatarajiwa kuwa Waziri wa Elimu mumewe akipita kama kwa mu7.
Tandale inaelekea we ndo chifu wao kitaaluma ndo maana unatetea data zinazokinzana. Ila unajitahidi sana kuwatetea. Wameongeza malipo nini?
Tandale inaelekea we ndo chifu wao kitaaluma ndo maana unatetea data zinazokinzana. Ila unajitahidi sana kuwatetea. Wameongeza malipo nini?
Unamjua Michelle Obama????Na yule aliyepandishwa jukwaani na magwanda??Hii forum sijui inakuwaje.Mnaongelea watu badala ya ujumbe.Kweli waafrika.
Huyu mama ni mwalimu na anajua anachosema.Muhimu ni ujumbe.
Kwani Michelle amesema wafanye kampeni za Shuka kwa shuka...we vipi
Ndio ni mwalimu Kama alivyo makamba
Na Michele alikuwa anaongozana na mumewe....sio hawa wa kwetu mume kusi mke kaskazi
jamani jamani jamani, enyi akina mama mbona mnadanganywa na huyo mama! shule tumejenga wenyewe,tulitegemea labda basi watatuletea waalimu, wapi! akina mama msimsikilize huyo mama watoto wake hawasomi shule za kata, watoto wanao teseka ni wetu, serikali imetekeleza nini kutukana wafanyakazi, kwa kuwafananisha na mbayuwayu! embu atupishe huko amhudumie bwanake na hizo hypoglycemia yake. laana hizo atadondoka mpaka basi! lakini na sikia anatumia sana miziziology,
Uliza aliowafundisha wakati huo wewe uko Sitimbi
Wazee wa August 2010 baada ya Oct 31 hutakaa owaone
Hebu jamani tufikiri japo kidogo tu,
hizi shule bila ya walimu, bila ya maabara, bila ya vitendea kazi kuna elimu kweli hapo? Hao walimu wachache wenyewe ndio wale wa voda faster hawana skills za kutosha za kufundisha na kimaadili ya ualimu pia nina mashaka nao. Hawa ndio tuwape watoto watufundishie na kutuandalia vijana wa taifa lijalo. Jamani hii elimu imekuwa mchezo wa kuigiza kiasi hiki?
Hivi mnajua kuwa Malaria Sugu amefungiwa? BAsi karudi kwa jina hili!
Hebu jamani tufikiri japo kidogo tu,
hizi shule bila ya walimu, bila ya maabara, bila ya vitendea kazi kuna elimu kweli hapo? Hao walimu wachache wenyewe ndio wale wa voda faster hawana skills za kutosha za kufundisha na kimaadili ya ualimu pia nina mashaka nao. Hawa ndio tuwape watoto watufundishie na kutuandalia vijana wa taifa lijalo. Jamani hii elimu imekuwa mchezo wa kuigiza kiasi hiki?