Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Huyu TandaleOne kama Malaria Sugu vile! yaani wanafikiri kwa umbali wa pua, I doubt his/her level or eductaion and in that matter his/her thinking ability! Maana hapa tunaweza kuwa tunajaribu kumuelewesha mtu kumbe uwezo wake wa kufikiri ni wa Form four ya shule za kata!
HAhahah Jamaa si mjinga ni msomi mzuri tu! Ila yuko hapa kwa kazi maalum kupumbaza watu. Ukweli anaujua ila analipwa