Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Wanajamvi! Hii sms ilisambaa sana mwaka 2010 mara baada ya uchaguzi(niliipata 18/11/2010). Lakini kinachonishangaza badala ya chama kufa ndio kinazidi kukua kila siku. Sijui aliyeianzisha anajisikiaje kwa sasa.
Hebu tujikumbushe
"Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
Rwamukaza ni wa Baregu.
R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.
HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.:A S-frusty2:
Hebu tujikumbushe
"Haao walioteuliwa wanasababu zao. Ngoja nikuambie kama hujui:
Joyce Mukya, G. Kiwelu na L. Nyerere ni wa M/kiti.
C. Abwao na Anastella Malki ni wa Alf Konjesta.
Rwamukaza ni wa Baregu.
R. Kamili, Susan Kiwanga na Paulina Gekul ni wa Slaa.
Chris Mtinda na Tina Lissu ni wa Lissu.
M. Msabaha na Raya Hamisi ni wa MM/kiti Znz.
Muhonga, A. Komu na L.Owenya wametetewa na Zito.
Muturano, Kaihura na S. Lyimo wametoka BAWACHA .
Mwanamrisho ni wa naibu Znz.
Sasa kama huna mtu secretariet hupiti hata E. Matiko amepita kwa uwezo wake na juhudi za K. Mkumbo.
HABARI NDIO HIYO CHAMA LAZIMA KIFE.:A S-frusty2: